masaule120
Senior Member
- Jul 16, 2015
- 176
- 33
Hela zako zikiisha itakuwaje ENZO?
Sijakusoma hapo.
And btw, huku kwetu Eid tumesherekea toka jana, leo ilikuwa siku ya kawaida tu.
Hela zako zikiisha itakuwaje ENZO?
na hapo ndo utata unakuta unaamua kabisa kuwa na mtu kuuridhisha moyo wako lakini majangAwote tupendane, ila itakuwa poa zaidi upendo wake kwangu ukizidi. Sio muda wote tunakuwa na watu wanaotupenda zaidi, kuna muda nafsi zetu zinawakataa kabisa ingawa tunajua kabisa kuwa pale tunapendwa
mi napenda nioe naempenda halafu yeye awe anapenda hela zangu ..........
masai dada bwana!!
You still believe in pure love huh!!
Naweza...
Kwa sababu naweza kumpenda mtu kumbe yeye hana mapenzi na mimi nae kuna mtu anaempenda
Mimi naona yeye ndio ananipenda kuliko mimi........japo na mimi pia namkundarie ile mbaya..........
Upendo wako unajaza canter??
Wa mbele ananipenda sn, ila wa nya nampenda sn
sijakuelewa
ila kuna mtu ananipenda mpaka nimeamua kumpa pasword yangu ya jf hahaha kama zawadi(kiding
japo yeye ndo kaninunulia lakini hata kuangalia saa haangalii kwenye simu yangu hahaha😂😂😂😂😂Mpe simu yako akae nayo siku nzima. Aweza kupata magonjwa yote kuanzia BP....hadi.....!
Kupendwa ndo raha, kupenda ni mauza uza tu
Haha mke wangu? Bado nina maisha mengi sana hadi kufikia hiyo hatua.shemeji yangu si mkeo au huko kwenu mnamuitaje