Ungepewa nafasi uchague

Ungepewa nafasi uchague

so hatutakiwi kupenda bali kutii
Nikipata mzuri, msafi, smart upstairs , mwaminifu na anayenitii baasi inatosha hata km hanipendi. Kwani nitamcharaza mbupu mpaka aone hamna dunia bila mimi na kwa hapo tutakuwa tumewezana.
 
Tunachojisahau ni kwamba....vitu vingi vinavyokuja maishani mwetu ni vile tunavyovivuta kutokana na matendo yetu na aina yetu ya maisha.....kwa kawaida changudoa hawezi kuolewa na mcha mungu kwa kuwa mazingira na aina ya maisha yanawaweka mbali.....ndivyo hivyo hivyo kwa watu wengine....
Kwa kifupi yale yote tunayoyapata kwenyw maisha yetu ndio tunayostahili kuyapata kulingana na maisha yetu na mazingira yetu....
 
Nikipata mzuri, msafi, smart upstairs , mwaminifu na anayenitii baasi inatosha hata km hanipendi. Kwani nitamcharaza mbupu mpaka aone hamna dunia bila mimi na kwa hapo tutakuwa tumewezana.
alafu wewe ngoja

unajisifu sana sijui tupange gemu😂😂😂😂😂 hofu yangu utatoroka kama el chapo
 
Tunachojisahau ni kwamba....vitu vingi vinavyokuja maishani mwetu ni vile tunavyovivuta kutokana na matendo yetu na aina yetu ya maisha.....kwa kawaida changudoa hawezi kuolewa na mcha mungu kwa kuwa mazingira na aina ya maisha yanawaweka mbali.....ndivyo hivyo hivyo kwa watu wengine....
Kwa kifupi yale yote tunayoyapata kwenyw maisha yetu ndio tunayostahili kuyapata kulingana na maisha yetu na mazingira yetu....
mtoto anapozaliwa kilema anakua kapenda?
 
Wote humu mmechagua anayewapenda , ila kwenye uhalisia huwa mnawakimbilia wale mnaowapenda huku mkiwalilia na kamasi kuwatoka.
Tungefanya hayo mnayoyasema mbona vilio vya mapenzi vingepungua sana.

Kabisaaaa!! Wengi hukimbilia kwa wale tunaowapenda ndio maana nyuzi za kutendwa humu haziishi na vilio vya mapenzi rundoooo!! Tatizo unakuta anayekupenda hana vigezo unavyovipenda hata theluthi, kwahiyo hata kujifunza kumpenda inakuwa ngumuuuuu.
 
Kwa nisiyempenda hata simu yake siwezi kupokea,sasa nitaoaje nisiyempenda?
 
Kuoa/kuolewa na mtu anaekupenda au unaempenda ungechagua nini??

anaekupenda au unaempenda

Hili swali ni la ki-technique zaidi na pia linahusisha chain ndefu saana.

Maana Mimi ntampenda mwingine, pia nyuma yangu kuna mtu anaenipenda, na nimpendae Mimi, kuna mtu anampenda!

******Very Technique Question*****!!
 
Hili swali ni la ki-technique zaidi na pia linahusisha chain ndefu saana.

Maana Mimi ntampenda mwingine, pia nyuma yangu kuna mtu anaenipenda, na nimpendae Mimi, kuna mtu anampenda!

******Very Technique Question*****!!
ni shda?
 
Back
Top Bottom