masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,800
- 16,817
- Thread starter
- #61
umejibu vyema sana.thanxIKITOKEA WATU WAWILI WANAOPENDANA KIASILI WAKAJARIBU KUISHI PAMOJA,HAWATAMALIZA SIKU WATAGOMBANA........
back kwa topic,,km ni mwanaume heri uchague unaempenda kwasabb wanawake wameumbwa/wanaweza kufundishwa kupenda!!
km ni mwanamke sharti uende unapopendwa,kwasabb ni ngumu kumshawish men akupende!!
btw kazi ya mwanamke kutii na ya mwanaume kupenda masai dada
Last edited by a moderator: