Ungepewa nafasi uchague

Ungepewa nafasi uchague

Kwa mwanaume ni bora ukaoa unaempenda lakini kwa mwanamke ni bora ukaolewa na anaekupenda (nyie ni rahisi ku badirika) wanaume huwa hatubadiliki
 
Imeandikwa enyi waume wapendeni wake zenu. Na enyi wake watiini waume zenu. Kwa maoni yangu mpaka hapo imeshajulikana nani Wa kumpenda mwenziwe
 
Kuoa/kuolewa na mtu anaekupenda au unaempenda ungechagua nini??

anaekupenda au unaempenda

“ usije muacha uliyempenda kwa yule uliyemtamani,, kwa maana yule uliye mtamani siku moja atakuuache na kwenda kwa anayempenda... “““ me naona bora muwe mnapendana,, ndoa ya watu wanaopendana...
 
sio mbaya momy embu dondosha jibu kwa masai DADA

Binafsi napenda MTU anayenipenda na kumpenda Mungu ..that's it.. I believe hata kama hukumpenda MTU but akawa na Moyo Wa kumpenda Mungu na kumpenda muhusika iko siku muhusika atampenda tuu... Wanawake baadhi (wenye upendo wa kweli ) tuko very easy kupenda kama tukipata anayetupenda kwa dhati. So I prefer a man to fall in love so a woman can follow , it is better than a woman to fall in love first and then ended it up in Pain.. Mioyo ya baadhi ya wanaume ni migumu sana unless awe ana hofu ya Mungu ndani yake. Ni vigumu sana kumbadilisha mwanaume kuliko mwanammke dear.. At the end inakuwa vyema more than Sweet if wote mkipendana kwa dhati . Thanks..
 
Last edited by a moderator:
Binafsi napenda MTU anayenipenda na kumpenda Mungu ..that's it.. I believe hata kama hukumpenda MTU but akawa na Moyo Wa kumpenda Mungu na kumpenda muhusika iko siku muhusika atampenda tuu... Wanawake baadhi (wenye upendo wa kweli ) tuko very easy kupenda kama tukipata anayetupenda kwa dhati. So I prefer a man to fall in love so a woman can follow , it is better than a woman to fall in love first and then ended it up in Pain.. Mioyo ya baadhi ya wanaume ni migumu sana unless awe ana hofu ya Mungu ndani yake. Ni vigumu sana kumbadilisha mwanaume kuliko mwanammke dear.. At the end inakuwa vyema more than Sweet if wote mkipendana kwa dhati . Thanks..

Waoooooh daah umemaliza kabisa momy hasa kwenye hofu ya MUNGU nimekuelewa zaid,,,,yaan mtu akiwa na hofu ya MUNGU hawez ata chepuka,,ataheshimu mahusiano yenu na vyote kat vyote mpenz mwenye hofu ya MUNGU na mme/mke bora
 
“ usije muacha uliyempenda kwa yule uliyemtamani,, kwa maana yule uliye mtamani siku moja atakuuache na kwenda kwa anayempenda... “““ me naona bora muwe mnapendana,, ndoa ya watu wanaopendana...

Hii mada so interesting kwa kwel. Haya maswala ya kupenda ni magumu sana na ni kitendawili kisichoteguka ata ukeshe Mara nyingi kupendana wote ni ngumu. "Unayempenda hakupendi, anayekupenda humpendi" loo so saad
 
Kuoa/kuolewa na mtu anaekupenda au unaempenda ungechagua nini?

Anaekupenda au unaempenda?

Principle ni hii, kama wewe ni mwanaume basi chagua unayempenda, kama wewe ni mwanamke chagua anayekupenda.
 
Hii mada so interesting kwa kwel. Haya maswala ya kupenda ni magumu sana na ni kitendawili kisichoteguka ata ukeshe Mara nyingi kupendana wote ni ngumu. "Unayempenda hakupendi, anayekupenda humpendi" loo so saad

Labda kwa sababu huwezi kuona nafsi ya mwenzi,, ndo maan... unaweza ukampenda mtu na yeye anakupenda pia lakini kwa upande wako unahisi unampenda sana kuliko yeye anavyokupenda.. Lakini kumbe kipimo cha upendo kwa kila mmoja wenu ni sawa heh..
 
‘‘Duniani tunasumbuka,, kupenda vinavyopendeza,,, hatujui kupenda vinavyopendeza hakuna thamani isipokuwa kupenda visivyopendeka‘‘

Naukumbukaga sana huu wimbo,,, one of my fav song kutoka kwa ambwene mwasongwe,,,
 
Mi ningejifundisha kumpenda anayenipenda, kwa kuwa nina uhakika ball will be on my side (i will be the one to decide), kuliko kumchagua ambaye sina hakika response yake itakuwaje.

Wale watu wa filosofia watanisaidia IPI RAHISI known-to-unknown or unknown-to-known.

though ingependeza sana kumpata yule nnayempenda sana, hiyo risk yake sasa
 
Back
Top Bottom