Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Kwa kuwa nimeshindwa kutimiza ndoto za raia wangu ningepisha wengine wenye uwezo!
Heko mkuu umekuwa wa kwanza kuchangia na ata ukiwa wa mwisho jibu linajitosheleza
Kwa kuwa nimeshindwa kutimiza ndoto za raia wangu ningepisha wengine wenye uwezo!
kuzunguka dunia nzima kwa hela za walipa kodi wangu
Waheshimiwa sana wanajamvi, tumetumia muda wa kutosha kuilaumu serikali iliyopo madarakani na chama tawala kwa matatizo yanayoikibali nchi hii. Mimi ni mmoja wenu katika hili na naamini CCM na serikali yake inastahili kubeba lawama isipokuwa haiitakuwa kuishia kulaumu tu. Tuna wajibu wa kupendekeza nini kifanyike kujikwamu toka hapa tuliponasa. Hata kama wahusika hawatachukua ushauri wetu tutakuwa tumepanua zaidi fikra zetu kuhusu mwelekeo sahihi tunaostahili kuchukua kama taifa na kipindi kitakapofika tutajua kwa uhakika zaidi nini kifanyike.
Kama wewe ungekuwa raisi wa nchi hii ungefanya nini kukabiliana na haya:
- Mfumuko wa bei
- Ubovu wa elimu
- Huduma mbovu za afya
- Tatizo la jira - Hasa kwa vijana
- Kudorora kwa kilimo (ambacho tunaambiwa ni uti wa mgongo wa taifa letu)
- Rushwa (imekuwa na kuzaa ufisadi)
Naomba maoni yenu wanajamvi na si lazima uzungumzia vyote, unaweza kuchagua baadhi ukatoa maoni yako.
Natanguliza shukrani zangu
Bolivar
Waheshimiwa sana wanajamvi, tumetumia muda wa kutosha kuilaumu serikali iliyopo madarakani na chama tawala kwa matatizo yanayoikibali nchi hii.
Mimi ni mmoja wenu katika hili na naamini CCM na serikali yake inastahili kubeba lawama isipokuwa haiitakuwa kuishia kulaumu tu. Tuna wajibu wa kupendekeza nini kifanyike kujikwamu toka hapa tuliponasa. Hata kama wahusika hawatachukua ushauri wetu tutakuwa tumepanua zaidi fikra zetu kuhusu mwelekeo sahihi tunaostahili kuchukua kama taifa na kipindi kitakapofika tutajua kwa uhakika zaidi nini kifanyike.
Kama wewe ungekuwa raisi wa nchi hii ungefanya nini kukabiliana na haya:
- Mfumuko wa bei
- Ubovu wa elimu
- Huduma mbovu za afya
- Tatizo la jira - Hasa kwa vijana
- Kudorora kwa kilimo (ambacho tunaambiwa ni uti wa mgongo wa taifa letu)
- Rushwa (imekuwa na kuzaa ufisadi)
Naomba maoni yenu wanajamvi na si lazima uzungumzia vyote, unaweza kuchagua baadhi ukatoa maoni yako.
Natanguliza shukrani zangu
Bolivar
Endelea ku-assume. Kama unataka michango makini, weka hoja makini na sio assumptions. Don't take things for granted and then ask for michango makini.
Wote tunafaham nchi yetu ina hali mbaya kiuchumi na Rais alitamka hivyo.
Madai yote ya madaktari yanahiyaji pesa kasoro la wakuu wizara kujiuzulu
je ungekuwa Rais ungefanya nini?.
Je watumishi wengine wa serikali unawaahidi nini?
nawasilisha
Hebu assume nafasi ya urais kwa muda unadhani nani kati ya waliopo angefiti wizara zifuatazo?
1. Fedha
2. Mambo ya nje
3. Ulinzi
4. Mambo ya ndani
5. Nishati na Madini
6. Viwanda na Biashara
Hebu assume nafasi ya urais kwa muda unadhani nani kati ya waliopo angefiti wizara zifuatazo?
1. Fedha
2. Mambo ya nje
3. Ulinzi
4. Mambo ya ndani
5. Nishati na Madini
6. Viwanda na Biashara