Ungekuwa rais ungefanya nini?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wana jamvi tupeane changamoto kila mmoja ajiulize angekuwa ni Rais wa Jamuhuru angefanya nin.

Nimeona hili ni swali na msingi kwa kuwa inawezekana watalawala, washauri, na waaamuzi na sisi wenyewe katika ngazi mbali badala ya kutatua KIINI cha tatizo tuemkuwa tukijaribu na kupapasa kutatua MATOKEO ya MATATIZO HALISI.

Mfano kwa mtazamo wangu kashfa kama za EPA,RICHMOND,RADAR, BOT TWIN TOWER, JENGO LA UBALOZI ROME na mengine mengi ni matokea ya tatizo fulani.

Je kama rais zaidi ya kuhakisha matokea ya KASHFA yanatatuiwa ungefanya nini ili chanzo chake kifungwe kabisa?

Mtazamo wangu matatizo yote haya chanzo halisi ni MFUMO. Na Huu mfumo unasababisha tatizo la UWAJIBIKAJI.

Kutatua tatizo hili mimi kama rais nitabadilisha MFUMO wa kuwapata wahusika wa baadhi ya vyeo vya juu Vyeo kwenye wizaara ,idara na mikowa kuwa vya kutangazwa ili KUSAILIWA badala ya KUTEULIWA

Ningefanya mabadiliko haya
1. Ningeteua Jaji Mkuu kutokana na application walizofanya majaji

2. Makatibu wakuu wa wazira nao ningewateua kutonana na application walizoomba wale wanajiona wanaweza

3.Makatibu Tawala wa Mikoa na wakurugenzi pia zingekuwa nafasi za kusailiwa

Dhana hii hata kama sio kwa kiasi kikubwa naamini ingechochea uwajibikaji na kuwafanya wahuskia waliochaguliwa kutokana na usahili kufanya kazi kwa profesion ethics zaidi na KUJIAMINI.

Pili kuondoa mlolongo wa nafasi za juu kwenye wizara, idara kushikwa na watu wanaoteuliwa tu. ( Mfano Waziri , Katibu mkuu na wakurugenzi wa wizara wanateuliwa ) Nadhani taasisi yenyeny viongozi watatu ni wa kuteuliwa ni manzo wa UZEMBE na KUTOKUWAJIBIKA.


Haya virtual president u re in office lets see the vision of of each one of us.
 
Jambo kubwa ni kuwakamata wote wenye tuhuma za ufisadi na kuwafunga mara moja na wale wanaibia Taifa letu, na kufanya serikali iwe accountability kwa watu na sio watu kuwa accountability kwa serikali
 
Ningefanya mabadiliko haya
1. Ningeteua Jaji Mkuu kutokana na application walizofanya majaji

2. Makatibu wakuu wa wazira nao ningewateua kutonana na application walizoomba wale wanajiona wanaweza

3.Makatibu Tawala wa Mikoa na wakurugenzi pia zingekuwa nafasi za kusailiwa

Dhana hii hata kama sio kwa kiasi kikubwa naamini ingechochea uwajibikaji na kuwafanya wahuskia waliochaguliwa kutokana na usahili kufanya kazi kwa profesion ethics zaidi na KUJIAMINI.
.
mh kazi kweli kweli!!
 
Raisi alichegaguliwa toka chama gani Ccm, Cuf ,Chadema, Nccr au mgombea binafsi? Nauliza kwa sababu madaraka ya raisi yako kisheria na kikatiba sidhani kama anaweza kufanya nje ya hivyo
 
1. Tanzania ingeondoka leo hii toka EAC
2. Tanzania ingeondoka leo hii toka EAC
3. Tanzania ingeondoka leo hii toka EAC
 
Jambo kubwa ni kuwakamata wote wenye tuhuma za ufisadi na kuwafunga mara moja na wale wanaibia Taifa letu, na kufanya serikali iwe accountability kwa watu na sio watu kuwa accountability kwa serikali

kweli kabisa kuwafunga ni sawa lakini unadhani ungefanya nin hasa ili kuziba hiyo mianya ya hao mafisadi kufisadi,
 
Raisi alichegaguliwa toka chama gani Ccm, Cuf ,Chadema, Nccr au mgombea binafsi? Nauliza kwa sababu madaraka ya raisi yako kisheria na kikatiba sidhani kama anaweza kufanya nje ya hivyo

Ni changamoto kama wewe ungekuwa rais unfenya nini.bila kujali itiakadi
 
Kwanza kuunda Katiba upya na watu wote kushiriki na sio sasa hivi ile ile ya mwaka 1977 na kufanyanyiwa marekebisho, mbaya sana,Kuchukua mawazo yote ya Upinzani na kufanyia kazi na kuleta matokeo mazuri katika jamii yetu
 
Wana jamvi tupeane changamoto kila mmoja ajiulize angekuwa ni Rais wa Jamuhuru angefanya nin.

Nimeona hili ni swali na msingi kwa kuwa inawezekana watalawala, washauri, na waaamuzi na sisi wenyewe katika ngazi mbali badala ya kutatua KIINI cha tatizo tuemkuwa tukijaribu na kupapasa kutatua MATOKEO ya MATATIZO HALISI.

Mfano kwa mtazamo wangu kashfa kama za EPA,RICHMOND,RADAR, BOT TWIN TOWER, JENGO LA UBALOZI ROME na mengine mengi ni matokea ya tatizo fulani.

Je kama rais zaidi ya kuhakisha matokea ya KASHFA yanatatuiwa ungefanya nini ili chanzo chake kifungwe kabisa?

Mtazamo wangu matatizo yote haya chanzo halisi ni MFUMO. Na Huu mfumo unasababisha tatizo la UWAJIBIKAJI.

Kutatua tatizo hili mimi kama rais nitabadilisha MFUMO wa kuwapata wahusika wa baadhi ya vyeo vya juu Vyeo kwenye wizaara ,idara na mikowa kuwa vya kutangazwa ili KUSAILIWA badala ya KUTEULIWA

Ningefanya mabadiliko haya
1. Ningeteua Jaji Mkuu kutokana na application walizofanya majaji

2. Makatibu wakuu wa wazira nao ningewateua kutonana na application walizoomba wale wanajiona wanaweza

3.Makatibu Tawala wa Mikoa na wakurugenzi pia zingekuwa nafasi za kusailiwa

Dhana hii hata kama sio kwa kiasi kikubwa naamini ingechochea uwajibikaji na kuwafanya wahuskia waliochaguliwa kutokana na usahili kufanya kazi kwa profesion ethics zaidi na KUJIAMINI.

Pili kuondoa mlolongo wa nafasi za juu kwenye wizara, idara kushikwa na watu wanaoteuliwa tu. ( Mfano Waziri , Katibu mkuu na wakurugenzi wa wizara wanateuliwa ) Nadhani taasisi yenyeny viongozi watatu ni wa kuteuliwa ni manzo wa UZEMBE na KUTOKUWAJIBIKA.


Haya virtual president u re in office lets see the vision of of each one of us.

Matatizo yote haya ya mfumo yanatokana na katiba isiyoendana na wakati yaani katiba mbovu. Ili kubadisha mfumo ningefanya utaratibu wa kuindika katiba ya nchi upya ambamo mambo yote ya mgawanyo wa madaraka yangejadiliwa na jamii kwa kina. Wananchi wangehusishwa kikamilifu katika kuiandika katiba hiyo!!.
 
Waheshimiwa sana wanajamvi, tumetumia muda wa kutosha kuilaumu serikali iliyopo madarakani na chama tawala kwa matatizo yanayoikibali nchi hii. Mimi ni mmoja wenu katika hili na naamini CCM na serikali yake inastahili kubeba lawama isipokuwa haiitakuwa kuishia kulaumu tu. Tuna wajibu wa kupendekeza nini kifanyike kujikwamu toka hapa tuliponasa. Hata kama wahusika hawatachukua ushauri wetu tutakuwa tumepanua zaidi fikra zetu kuhusu mwelekeo sahihi tunaostahili kuchukua kama taifa na kipindi kitakapofika tutajua kwa uhakika zaidi nini kifanyike.

Kama wewe ungekuwa raisi wa nchi hii ungefanya nini kukabiliana na haya:

- Mfumuko wa bei
- Ubovu wa elimu
- Huduma mbovu za afya
- Tatizo la jira - Hasa kwa vijana
- Kudorora kwa kilimo (ambacho tunaambiwa ni uti wa mgongo wa taifa letu)
- Rushwa (imekuwa na kuzaa ufisadi)

Naomba maoni yenu wanajamvi na si lazima uzungumzia vyote, unaweza kuchagua baadhi ukatoa maoni yako.

Natanguliza shukrani zangu

Bolivar
 
Kwa kuwa nimeshindwa kutimiza ndoto za raia wangu ningepisha wengine wenye uwezo!
 
Ningekuwa Rais wa hii nchi, kitu cha kwanza ambacho ningekifanya ni ku-extinguish nchini watu kama nyie. Tumekuwa watu wa kulalama 24 hours, 7 days a week. The worse thing, watu tunalalamika bila hata kuchukua hatua yoyote. We expect someone to do it for us. Thanks at least kuna mtu ka-note hili: Tanzania has become a nation of complainers *- Magazine*|theeastafrican.co.ke

Suala sio kama wewe ungekuwa Rais ungefanya nini. Suala ni kama wewe ni Mtanzania unafanya/umefanya nini kuhusiana na hayo matatizo uliyolist hapo. Kama umeshindwa kufanya chochote, then stop complaining.
 
Sehemu kubwa ya michango indirect inalenga serikali na rais aliyepo, let forget about him and his CCM government, assume tumeiondoa CCM madarakani tunakabiliana na matatizo iliyotuachia!

Naomba michango makini tuweke mzaha pembeni
 
dawa ni kufufua viwanda vilivyokufa mf nyumbu,tanganyika pakers etc na kurudisha sera ya ujamaa.uchumi umilikiwe na wananchi wenyewe.
 
Sehemu kubwa ya michango indirect inalenga serikali na rais aliyepo, let forget about him and his CCM government, assume tumeiondoa CCM madarakani tunakabiliana na matatizo iliyotuachia!

Naomba michango makini tuweke mzaha pembeni

Endelea ku-assume. Kama unataka michango makini, weka hoja makini na sio assumptions. Don't take things for granted and then ask for michango makini.
 
Waheshimiwa sana wanajamvi, tumetumia muda wa kutosha kuilaumu serikali iliyopo madarakani na chama tawala kwa matatizo yanayoikibali nchi hii. Mimi ni mmoja wenu katika hili na naamini CCM na serikali yake inastahili kubeba lawama isipokuwa haiitakuwa kuishia kulaumu tu. Tuna wajibu wa kupendekeza nini kifanyike kujikwamu toka hapa tuliponasa. Hata kama wahusika hawatachukua ushauri wetu tutakuwa tumepanua zaidi fikra zetu kuhusu mwelekeo sahihi tunaostahili kuchukua kama taifa na kipindi kitakapofika tutajua kwa uhakika zaidi nini kifanyike.

Kama wewe ungekuwa raisi wa nchi hii ungefanya nini kukabiliana na haya:

- Mfumuko wa bei
- Ubovu wa elimu
- Huduma mbovu za afya
- Tatizo la jira - Hasa kwa vijana
- Kudorora kwa kilimo (ambacho tunaambiwa ni uti wa mgongo wa taifa letu)
- Rushwa (imekuwa na kuzaa ufisadi)

Naomba maoni yenu wanajamvi na si lazima uzungumzia vyote, unaweza kuchagua baadhi ukatoa maoni yako.

Natanguliza shukrani zangu

Bolivar

Wamtumie lipumba kwenye kuinua uchumi wetu
 
Waheshimiwa sana wanajamvi, tumetumia muda wa kutosha kuilaumu serikali iliyopo madarakani na chama tawala kwa matatizo yanayoikibali nchi hii. Mimi ni mmoja wenu katika hili na naamini CCM na serikali yake inastahili kubeba lawama isipokuwa haiitakuwa kuishia kulaumu tu. Tuna wajibu wa kupendekeza nini kifanyike kujikwamu toka hapa tuliponasa. Hata kama wahusika hawatachukua ushauri wetu tutakuwa tumepanua zaidi fikra zetu kuhusu mwelekeo sahihi tunaostahili kuchukua kama taifa na kipindi kitakapofika tutajua kwa uhakika zaidi nini kifanyike.

Kama wewe ungekuwa raisi wa nchi hii ungefanya nini kukabiliana na haya:

- Mfumuko wa bei
- Ubovu wa elimu
- Huduma mbovu za afya
- Tatizo la jira - Hasa kwa vijana
- Kudorora kwa kilimo (ambacho tunaambiwa ni uti wa mgongo wa taifa letu)
- Rushwa (imekuwa na kuzaa ufisadi)

Naomba maoni yenu wanajamvi na si lazima uzungumzia vyote, unaweza kuchagua baadhi ukatoa maoni yako.

Natanguliza shukrani zangu

Bolivar

Wamtumie lipumba kwenye kuinua uchumi wetu kwa kuweka siasa pembeni na kuamua kuijenga Tz
 
Back
Top Bottom