Hebu assume nafasi ya urais kwa muda unadhani nani kati ya waliopo angefiti wizara zifuatazo?
1. Fedha - atafute mtu toka ESRF (atumuie nafasi ya kuteua wabunge)
2. Mambo ya nje - Prof Anna Tibaijuka
3. Ulinzi - Makongoro Nyerere (aondoke kule kwenye bunge la EALA)
4. Mambo ya ndani - Nahodha (anabaki kwa sababu ya muungano)
5. Nishati na Madini - Dr Mwakyembe & Naibu Peter Kafumu
6. Viwanda na Biashara - Zungu
NB: Hussen Mwinyi aende Afya.
Hebu assume nafasi ya urais kwa muda unadhani nani kati ya waliopo angefiti wizara zifuatazo?
1. Fedha
2. Mambo ya nje
3. Ulinzi
4. Mambo ya ndani
5. Nishati na Madini
6. Viwanda na Biashara
Mi sijakuelewa !! Labda waje magrit thinkers zaidi!
mi nadhani kwa upande wa bungeni tuko kwenye right track to the dawn of real democary and self awareness of our rights and appropriate approaches to attain such rights if at all we want to develop and reach somewhere.
Mkuu kisichoeleweka hapo ni nini? Ina maana huoni taifa lilipo sasa na nini kinaendelea katika bunge letu?!
Najaribu kufananisha yanayoendelea nchini na hasa bungeni na mambo ya nyumba yenye baba na watoto, watoto wakiwa wanagombana ni lazima baba afanye kitu.
Je, kwa haya tunayoyaona nchini na hasa bungeni kama wewe ndio ungekuwa Mkuu wa Kaya ungefanyaje? Mpaka sasa tunatia aibu na hatua ya kutia aibu ikikua lazima tutaingia hatua nyingine ambayo bila shaka itakuwa ni mbaya kuliko hiyo ya kujiabisha.
Najaribu kufananisha yanayoendelea nchini na hasa bungeni na mambo ya nyumba yenye baba na watoto, watoto wakiwa wanagombana ni lazima baba afanye kitu.
Je, kwa haya tunayoyaona nchini na hasa bungeni kama wewe ndio ungekuwa Mkuu wa Kaya ungefanyaje? Mpaka sasa tunatia aibu na hatua ya kutia aibu ikikua lazima tutaingia hatua nyingine ambayo bila shaka itakuwa ni mbaya kuliko hiyo ya kujiabisha.
Sio tu kama ningekuwa rais,hata ningekuwa mbunge,ningemchapa vibao bw. Jobb ******..ila kwa kuwa sio hata mbunge,nimemtukana sana.
Mh! Bunge at right track?!? Mipasho, matusi, timuatimua, nk ndio right track?[/QUOTE matusi mipasho na timuatimua ni campaign ya watawala kunyamazisha wazalendo wa majority,rulers washakosa cha kuambia umma,so that's the only way remain]
it obvious kwamba makinda na ndugai wako kichama zaidi na si kwa maslahi ya umma na nchi kwa ujumla,ndo wasimamizi wakuu wa maslahi ya minority ccm considering dat dola na mahakama zitawalinda,majority rights r just foolish n worthless to em!Kama ningekuwa Raisi ninge mwomba Samwel Sita awe speaker makinda na job wakasomee maana na tofauti za Democracy na dictetaship
like children like papa.