Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
- Thread starter
- #81
Wana uhusiano gani na Jeshi la Israel?
Wanao uhusiana wa kijeshi, kama sisi tulivyo na uhusianoo wa kijeshi na China, USA, na Cuba!
Wao hasa wakiwatumia Israeli kuuziwa vifaa vya Kijeshi
Kati ya ndege 14 walizonazo 8 wameuziwa na Israel, 2 na Uingereza, 2 waririthi baada ya Uhuru!
Wana sub Marine 4 mbili mpya walizonunua toka USA mbili wamerithi tangu uhuru,
Wanalo jeshi hai la watu 25,200. Makomandoo wasiozidi 30,
Kumbuka Tanzania ndio nchi pekee barani Afrika yenye makomandoo wengi zaidi zaidi 3500 idadi ambayo ni sawa na makomandoo wa Ufaransa, ungufu kidogo ya makomandoo wa UK na zaidi ya hayo Tz pekee tuna kiwanda cha kutengeneza silaha zetu za kivita mfano Mabomu, Sub Marine (zipo sasa), Magari nk!