Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #41
Yericko ,hamasisha vita lakini mimi nitakuwa upande wa Malawi siyo dhambi kuwa mamluki ukizingatia kuwa mashine najua kutumia na utandawazi huu wa mitandao ya cm na internet miye ni kuclikc tu kule Blantare kitu kinamwagika pwaa.Kikosi au platoon inateketea.Nitakuwa mtu wa mwisho kushawishiwa kwa VITA HII YA KIJINGA.
Na tutakunyonga wewe na mama yako Joyce Banda!
Wewe ni muasi kabisa!
Last edited by a moderator: