Unga mkono JWTZ kulinda mipaka ya Nchi yetu!

Yericko ,hamasisha vita lakini mimi nitakuwa upande wa Malawi siyo dhambi kuwa mamluki ukizingatia kuwa mashine najua kutumia na utandawazi huu wa mitandao ya cm na internet miye ni kuclikc tu kule Blantare kitu kinamwagika pwaa.Kikosi au platoon inateketea.Nitakuwa mtu wa mwisho kushawishiwa kwa VITA HII YA KIJINGA.

Na tutakunyonga wewe na mama yako Joyce Banda!

Wewe ni muasi kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Yericko NI UJINGA SANA KUTAMBA KWA KUCHOKONOA VITA.kWENYE MABANGO YAKO MENGI NIMEKUWA NIKIKUUNGA MKONO LAKINI KWA ILI SIKUUNGI HATA KUCHA.Mimi ni askari by professional ingawa niliacha na kujiunga na kazi za kiraia za serikali, mantiki ya kuunga mkono vita haipo.Utakuwa uwendawazimu leo hii TANZANIA ITAINGIA VITANI NA MALAWI KWA AJILI YA MPAKA.vITA WATU KAMA WEWE WANAFIKIRI NI SHEREHE ZA HARUSI NA KUVISHANA PETE.NO.Kwa nchi kama hii ambayo imekwisha tafunwa na ufisadi wa kutisha ni MAFISADI TU NDIO WANASHANGILIA VITA ILI WAPATE MWANYA WA KUIFISADI NCHI VIZURI.CHAMA CHANGU MAKINI CDM NAOMBA KIWEKEZE KATIKA DIPLOMACY NA KUACHA KAULI ZA KIJINGA ZA AKINA MEMBE KUCHOKONOA VITA. NCHI HII HAINA UWEZO WA KIFEDHA KUWEKA JESHI KATIKA VITA ZAIDI YA WEEK 4 BILA KUFILISIKA RASMI.
kwa hiyo wewe kanga unataka tuwaachie ziwa lote? acha uchizi we don't care if the names of lake is nyasa, malawi, joyce, kamuzu or banda the borders are not negotiable kwa kifupi waking'ang'ana ni lao hatuwaachi mpaka watumalize wote yaani vita kwa kwenda mbele!
 
Mimi ni mtanzania lakini kwa hili jambo niko tayari kuwaunga mkono wamalawi kwa hali na mali.
Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi siku zote,
serikali yetu ilikuwa inajua siku zote na hata ulimwengu unajua siku zote, ukiondoa propaganda ambazo watanzania tumekuwa tukilishwa toka shule ya msingi kwamba ziwa Nyasa liko Tanzania wakati si kweli.

Vitisho na Nguvu za kijeshi haziwezi kutusaidia hata kidogo, hahitaji kuwa na jeshi kubwa na imara ili uweze kushinda vita siku za leo, kitu pekee ni kuwa na pesa za kuwekeza kwenye vita lakini pia kuungwa mkono na taifa kubwa lolote ambalo litafaidika na vita yenu, kitu ambacho wenzetu wa Malawi wameshafanikiwa kwa sasa.

Ninawashauri watanzania wenzangu tusiunge mkono juhudi zozote za kivita kwani hazina faida yoyote na wala hazina mchango wowote kwetu kwa sasa na hata baadaye.

Ninaishauri serikali yetu kwa sasa ijikite kutatua matatizo ya waalimu,madaktari pension za wastaafu,katiba mpya nk.

Askari waliopelekwa huko mimi siwashangai hata kidogo kwani hiyo ndio kazi yao na pili hao ni Mbwa wa watawala, wanasubiri kutumwa tu, swali kuu la kuwauliza askari wetu ni; walikuwa wapi wakati twiga na tembo wetu wakitoroshwa kwa ndege za kigeni tena za kijeshi au walikuwa wapi wakati Meli za mafuta za Iran zilipokuwa zinatumia pwani yetu huku zinapeperusha bendera ya Tanzania.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Malawi na ziwa lao.
pumbafu kabisa wewe na sisi lake tanganyika ni letu lote sio? nyinyi wanyasa mliyejipenyeza humu wote tunawajua baada ya hili kwisha iwe kwa mazungumzo au mtutu operation yetu ya pili ni kusafisha wapumbavu wote wakinyasa mludi kwenu maana hamna adabu hata kidogo
 
Ili washinde wanahitaji kuungwa mkono na wananchi, kumbuka vita ya uganda tulishinda kwakuwa tuliungana na kuwa kitu kimoja!

UNGA MKONO JWTZ kulinda nchi yetu
Wangekuwa polisi nisinge waunga mkono sikila siku wanatupiga mabomu wakawapige na wamalawi lakini kama ni JWTZ angalau....
 
You have all spoken well....but lets hope and pray for the best......all in all, WAR ISN'T AN OPTION......we'll all suffer the consequenses....us and our families........tanzanians and malawians.........
 
kwa hiyo wewe kanga unataka tuwaachie ziwa lote? acha uchizi we don't care if the names of lake is nyasa, malawi, joyce, kamuzu or banda the borders are not negotiable kwa kifupi waking'ang'ana ni lao hatuwaachi mpaka watumalize wote yaani vita kwa kwenda mbele!
Na tukuone msitari wa mbele na siyo kutoa unga na mchele.....Kiukweli hapa Siasa tutasimamisha kwanza ili tuwatandike hawa wasen ndiyo turudi kwenye vita yetu na CCM...
 
mkuu embu fafanua kidogo,nyasa ni mali ya malawi?? sijakuelewa!!! au unasema part ya nyasa ni mali ya malawi!!!??
yaaani mkuu hili jitu silielewi kabisa sisi tumepata uhuru 1961 wao wamepata 1964 nani kaanza kuzaliwa yaani mtoto wa pili anadai kitanda ulichomnunulia mtoto wa kwanza ni chake uoni vituko?
 
Itasikitisha kusikia siasa za Chadema, CUF, UDP, TLP,NCCR Mageuzi au CCM katika mgogoro huu.

Wote tuongee lugha moja tuhubiri uhuru wa nchi yetu, na hakuna kipande cha ardhi yetu kitakachomegwa na taifa lolote lile kigeni tungali hai watz!

UNGA MKONO JWTZ kulinda NCHI yetu!
Vipi zile Trillion 3 za Abdallah Shimbo atatoa bei gani kwenye msala huu au anasubiri kutunisha mfuko wake....
 
Binafsi kama kutatokea vita nitaenda na nikirudi lazima tuiondoe CCM.....
 
Sidhani kama kuna Mtanzania wa kawaida leo hii anaweza kuthubutu kutoa mbuzi au Ng'ombe wake kuchangia Vita hii. Watawala wameshajenga ukuta, tusidanganyane kabisa kama Watanzania bado ni wamoja, anyepingana na ukweli huu na apinge tu, lakini nimefanya utafiti wa kutosha JK Nyerere alionesha njia na ndio maana Watanzania walikuwa nyuma yake. lakini siyo hawa.
 
yaaani mkuu hili jitu silielewi kabisa sisi tumepata uhuru 1961 wao wamepata 1964 nani kaanza kuzaliwa yaani mtoto wa pili anadai kitanda ulichomnunulia mtoto wa kwanza ni chake uoni vituko?
Mkuu usichanganye Habari, Malawi kabla ya Uhuru ilikuwa inaitwa Nyasa na ziwa linaitwa Nyasa, sasa wao kwa sababu sasa hivi wanaitwa Malawi ndio maana kwa mujibu wao na Ziwa wamelipa jina la ziwa Malawi. nilikuwa nakuweka sawa tu.
Mambo ya mipaka au mmiliki mimi sijui, sielewi lolote.
 
pumbafu kabisa wewe na sisi lake tanganyika ni letu lote sio? nyinyi wanyasa mliyejipenyeza humu wote tunawajua baada ya hili kwisha iwe kwa mazungumzo au mtutu operation yetu ya pili ni kusafisha wapumbavu wote wakinyasa mludi kwenu maana hamna adabu hata kidogo

halioni hata aibu kusema ziwa lote lao
 
Hili suala ni heri akaachiwa Mwamunyange Mkuu wa Majeshi lakini Si JK, Tukifanikiwa huko Nyassa basi Davis Mwamunyange ututolee huyu JK
 
Mkuu usichanganye Habari, Malawi kabla ya Uhuru ilikuwa inaitwa Nyasa na ziwa linaitwa Nyasa, sasa wao kwa sababu sasa hivi wanaitwa Malawi ndio maana kwa mujibu wao na Ziwa wamelipa jina la ziwa Malawi. nilikuwa nakuweka sawa tu.
Mambo ya mipaka au mmiliki mimi sijui, sielewi lolote.
ya matola nakubaliana na wewe kwetu sisi jina sio sababu inamaana hata jumuia za kimataifa wakiwakubalia kimantiki na hiyo, watakubali tutakapoclaim na sisi lake tanganyika tupewe lote? sheria za kimataifa zimeweka wazi kukiwa na ziwa au mto kati ya nchi mbili mpaka ni kati full stop nafikiri hata kwa mungu akuna mjadala hapo
 
I will take my annual leave and head direct to the front line. naipenda sana nchi yangu na nimekua nikiomba siku moja niwe kwenye front line
 
Back
Top Bottom