Eti Jwtz linalinda mipaka lakini halilindi vilivyomo ndani ya mipaka

Eti Jwtz linalinda mipaka lakini halilindi vilivyomo ndani ya mipaka

Kizibo

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
4,605
Reaction score
10,453
Jwtz acheni kutuongopea wananchi.
Mnasema mliapa kulinda mipaka ya nchi, lakini mbona hamlindi vilivyomo ndani ya mipaka??

1 MIPAKA
Hiyo mipaka yenyewe mbona hamuilindi?? Kama mnalinda mipaka, kwanini toka kabla ya tarehe 29 Oct 2025 kulikuwa na tetesi kuna watu wameingizwa nchini kuua waandamanaji, na kuzi Nchemba amekiri katika waliokuwa na silaha kulikuwa na watu waliokuwa hawaongei kiswahili, kwa maana hawakuwa watanzania. Sasa hiyo mipaka mnayolinda ni mipaka gani ikiwa adui wanaingia na wanafanya mauaji nchini????

2 WANANCHI
Wananchi wamekuwa wanatekwa, wanaumizwa, wanateswa, nyie mpo tu na hamuwalindi wananchi wakati nyie ni jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania??

3 KATIBA
Mnajinasibu kuwa mliapa kuilinda katiba ya jamhuri wa muungano qa tz, lakini mbona katiba hiyo imekuwa ikikiukwa tena wazi wazi kwa mara kadhaa na hamchukui hatua zozote??

Kwa mfano, kwa mujibu wa katiba ya nchi, uchaguzi wa mwaka huu, mchakato wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya Ccm, ulitakiwa uanze mchujo ndani ya chama. Lakini kwa kukiuka katiba ya nchi makusudi, walimteaua tu Samia agombee. Nyie hiyo katiba mnayolinda ni katiba gani???

4 Rasirimali za nchi.
Ufisadi na wizi wa mali za umma umekithili nchin. Wanasiasa na watawala wanaiba sana rasirimali na nchi (ushahidi ni report ya CAG ya kila mwaka), nepotism serikalin tena wazi wazi, nyie mpo tu hamchukui hatua yoyote halafunatuongopea eti nyie ni jeshi la wananchi na kwamba mnalinda mipaka ya nchi na kuilinda katiba.

Mipaka hailindwi
Wananchi hawalindwi
Katiba haikindwi
Rasrimali za nchi hazilindwi.

Sasa nyie ni jeshi la kulinda nini??? Mnalinda nini??
Mnalinda watawala badala ya wananchi, katiba na rasirimali za taifa??
Wanajeshi wetu na jeshi letu kiukweli mnatusaliti wananchi.

Haya, tukisema wanannchi tuandamane kulikomboa taifa mnatusaliti kwa kuungana na polisi na watawala kutuua.

Mkunda akawaita waandamanaji eti ni wahalifu, lakini watawala wanaokiuka katiba na kuiba raslimali za taifa kwa ufisadi anawapigia saluti na kuwatii
 
Jwtz acheni kutuongopea wananchi.
Mnasema mliapa kulinda mipaka ya nchi, lakini mbona hamlindi vilivyomo ndani ya mipaka??

1 MIPAKA
Hiyo mipaka yenyewe mbona hamuilindi?? Kama mnalinda mipaka, kwanini toka kabla ya tarehe 29 Oct 2025 kulikuwa na tetesi kuna watu wameingizwa nchini kuua waandamanaji, na kuzi Nchemba amekiri katika waliokuwa na silaha kulikuwa na watu waliokuwa hawaongei kiswahili, kwa maana hawakuwa watanzania. Sasa hiyo mipaka mnayolinda ni mipaka gani ikiwa adui wanaingia na wanafanya mauaji nchini????

2 WANANCHI
Wananchi wamekuwa wanatekwa, wanaumizwa, wanateswa, nyie mpo tu na hamuwalindi wananchi wakati nyie ni jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania??

3 KATIBA
Mnajinasibu kuwa mliapa kuilinda katiba ya jamhuri wa muungano qa tz, lakini mbona katiba hiyo imekuwa ikikiukwa tena wazi wazi kwa mara kadhaa na hamchukui hatua zozote??
Kwa mfano, kwa mujibu wa katiba ya nchi, uchaguzi wa mwaka huu, mchakato wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya Ccm, ulitakiwa uanze mchujo ndani ya chama. Lakini kwa kukiuka katiba ya nchi makusudi, walimteaua tu Samia agombee. Nyie hiyo katiba mnayolinda ni katiba gani???

4 Rasirimali za nchi.
Ufisadi na wizi wa mali za umma umekithili nchin. Wanasiasa na watawala wanaiba sana rasirimali na nchi (ushahidi ni report ya CAG ya kila mwaka), nepotism serikalin tena wazi wazi, nyie mpo tu hamchukui hatua yoyote halafunatuongopea eti nyie ni jeshi la wananchi na kwamba mnalinda mipaka ya nchi na kuilinda katiba.

Mipaka hailindwi
Wananchi hawalindwi
Katiba haikindwi
Rasrimali za nchi hazilindwi.

Sasa nyie ni jeshi la kulinda nini??? Mnalinda nini??
Mnalinda watawala badala ya wananchi, katiba na rasirimali za taifa??
Wanajeshi wetu na jeshi letu kiukweli mnatusaliti wananchi.

Haya, tukisema wanannchi tuandamane kulikomboa taifa mnatusaliti kwa kuungana na polisi na watawala kutuua.
Mkunda akawaita waandamanaji eti ni wahalifu, lakini watawala wanaokiuka katiba na kuiba raslimali za taifa kwa ufisadi anawapigia saluti na kuwatii

Ku*m*anina was*eng*e nyie
Jeshi ka kulinda Wezi, Wauaji wa WATanzania JEKUWAWETA
 
Jwtz acheni kutuongopea wananchi.
Mnasema mliapa kulinda mipaka ya nchi, lakini mbona hamlindi vilivyomo ndani ya mipaka??

1 MIPAKA
Hiyo mipaka yenyewe mbona hamuilindi?? Kama mnalinda mipaka, kwanini toka kabla ya tarehe 29 Oct 2025 kulikuwa na tetesi kuna watu wameingizwa nchini kuua waandamanaji, na kuzi Nchemba amekiri katika waliokuwa na silaha kulikuwa na watu waliokuwa hawaongei kiswahili, kwa maana hawakuwa watanzania. Sasa hiyo mipaka mnayolinda ni mipaka gani ikiwa adui wanaingia na wanafanya mauaji nchini????

2 WANANCHI
Wananchi wamekuwa wanatekwa, wanaumizwa, wanateswa, nyie mpo tu na hamuwalindi wananchi wakati nyie ni jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania??

3 KATIBA
Mnajinasibu kuwa mliapa kuilinda katiba ya jamhuri wa muungano qa tz, lakini mbona katiba hiyo imekuwa ikikiukwa tena wazi wazi kwa mara kadhaa na hamchukui hatua zozote??
Kwa mfano, kwa mujibu wa katiba ya nchi, uchaguzi wa mwaka huu, mchakato wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya Ccm, ulitakiwa uanze mchujo ndani ya chama. Lakini kwa kukiuka katiba ya nchi makusudi, walimteaua tu Samia agombee. Nyie hiyo katiba mnayolinda ni katiba gani???

4 Rasirimali za nchi.
Ufisadi na wizi wa mali za umma umekithili nchin. Wanasiasa na watawala wanaiba sana rasirimali na nchi (ushahidi ni report ya CAG ya kila mwaka), nepotism serikalin tena wazi wazi, nyie mpo tu hamchukui hatua yoyote halafunatuongopea eti nyie ni jeshi la wananchi na kwamba mnalinda mipaka ya nchi na kuilinda katiba.

Mipaka hailindwi
Wananchi hawalindwi
Katiba haikindwi
Rasrimali za nchi hazilindwi.

Sasa nyie ni jeshi la kulinda nini??? Mnalinda nini??
Mnalinda watawala badala ya wananchi, katiba na rasirimali za taifa??
Wanajeshi wetu na jeshi letu kiukweli mnatusaliti wananchi.

Haya, tukisema wanannchi tuandamane kulikomboa taifa mnatusaliti kwa kuungana na polisi na watawala kutuua.
Mkunda akawaita waandamanaji eti ni wahalifu, lakini watawala wanaokiuka katiba na kuiba raslimali za taifa kwa ufisadi anawapigia saluti na kuwatii

Ku*m*anina was*eng*e nyie
Wanalinda CCM boss iendelee kuwa madarakani kuwatawala Watanzania.
 
Kimekukuta nini mkuu?
Kwanini umepiga u-turn ghafla kutoka kutetea maovu au waovu na kuwa upande wa wazalendo?
Wee kitimoto unanifaninisha?? Lini niliwahi kuwa upande wa ccm na polisi??
Leta ushahidi hapa
 
Wanatofauti gani na wamasai au mgambo wanaolinda mageti ya ma godown sasa.?

Mmasai anakabidhiwa go down hafanyo audit ya anacho takiwa kukulinda, lakini vikiibiwa huko ndani anashitakiwa yeye mlinzi wa nje.
 
Wewe ulishaambiwa hili linalojiita jeshi la wanainchi limejengwa katika msingi wa kuwatii na kufuata amri za watawala wa kisiasa.

Yaani lenyewe lipo kwa ajili ya kuwatii na kuwalinda wanasiasa hata kama ni wapumbavu, ndio maana siku ile 29/october yalikuwa yanaangalia tu kma matahira.

Hili ni jeshi la ovyo sana hapa Afrika.
 
Hilo ni jeshi la wahuni wachache wa ccm. Sisi wananchi hatuna jeshi la hovyo kama hilo.
 
Jwtz acheni kutuongopea wananchi.
Mnasema mliapa kulinda mipaka ya nchi, lakini mbona hamlindi vilivyomo ndani ya mipaka??

1 MIPAKA
Hiyo mipaka yenyewe mbona hamuilindi?? Kama mnalinda mipaka, kwanini toka kabla ya tarehe 29 Oct 2025 kulikuwa na tetesi kuna watu wameingizwa nchini kuua waandamanaji, na kuzi Nchemba amekiri katika waliokuwa na silaha kulikuwa na watu waliokuwa hawaongei kiswahili, kwa maana hawakuwa watanzania. Sasa hiyo mipaka mnayolinda ni mipaka gani ikiwa adui wanaingia na wanafanya mauaji nchini????

2 WANANCHI
Wananchi wamekuwa wanatekwa, wanaumizwa, wanateswa, nyie mpo tu na hamuwalindi wananchi wakati nyie ni jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania??

3 KATIBA
Mnajinasibu kuwa mliapa kuilinda katiba ya jamhuri wa muungano qa tz, lakini mbona katiba hiyo imekuwa ikikiukwa tena wazi wazi kwa mara kadhaa na hamchukui hatua zozote??

Kwa mfano, kwa mujibu wa katiba ya nchi, uchaguzi wa mwaka huu, mchakato wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya Ccm, ulitakiwa uanze mchujo ndani ya chama. Lakini kwa kukiuka katiba ya nchi makusudi, walimteaua tu Samia agombee. Nyie hiyo katiba mnayolinda ni katiba gani???

4 Rasirimali za nchi.
Ufisadi na wizi wa mali za umma umekithili nchin. Wanasiasa na watawala wanaiba sana rasirimali na nchi (ushahidi ni report ya CAG ya kila mwaka), nepotism serikalin tena wazi wazi, nyie mpo tu hamchukui hatua yoyote halafunatuongopea eti nyie ni jeshi la wananchi na kwamba mnalinda mipaka ya nchi na kuilinda katiba.

Mipaka hailindwi
Wananchi hawalindwi
Katiba haikindwi
Rasrimali za nchi hazilindwi.

Sasa nyie ni jeshi la kulinda nini??? Mnalinda nini??
Mnalinda watawala badala ya wananchi, katiba na rasirimali za taifa??
Wanajeshi wetu na jeshi letu kiukweli mnatusaliti wananchi.

Haya, tukisema wanannchi tuandamane kulikomboa taifa mnatusaliti kwa kuungana na polisi na watawala kutuua.

Mkunda akawaita waandamanaji eti ni wahalifu, lakini watawala wanaokiuka katiba na kuiba raslimali za taifa kwa ufisadi anawapigia saluti na kuwatii
KAMA WANALINDA MIPAKA...TAREHE 29 WALIKUWA WANALINDA NINI MITAANI KAMA SIYO KUWALINDA CCM NA FAMILIA ZA MAFISADI
 
Jwtz acheni kutuongopea wananchi.
Mnasema mliapa kulinda mipaka ya nchi, lakini mbona hamlindi vilivyomo ndani ya mipaka??

1 MIPAKA
Hiyo mipaka yenyewe mbona hamuilindi?? Kama mnalinda mipaka, kwanini toka kabla ya tarehe 29 Oct 2025 kulikuwa na tetesi kuna watu wameingizwa nchini kuua waandamanaji, na kuzi Nchemba amekiri katika waliokuwa na silaha kulikuwa na watu waliokuwa hawaongei kiswahili, kwa maana hawakuwa watanzania. Sasa hiyo mipaka mnayolinda ni mipaka gani ikiwa adui wanaingia na wanafanya mauaji nchini????

2 WANANCHI
Wananchi wamekuwa wanatekwa, wanaumizwa, wanateswa, nyie mpo tu na hamuwalindi wananchi wakati nyie ni jeshi la ulinzi wa wananchi wa tanzania??

3 KATIBA
Mnajinasibu kuwa mliapa kuilinda katiba ya jamhuri wa muungano qa tz, lakini mbona katiba hiyo imekuwa ikikiukwa tena wazi wazi kwa mara kadhaa na hamchukui hatua zozote??

Kwa mfano, kwa mujibu wa katiba ya nchi, uchaguzi wa mwaka huu, mchakato wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya Ccm, ulitakiwa uanze mchujo ndani ya chama. Lakini kwa kukiuka katiba ya nchi makusudi, walimteaua tu Samia agombee. Nyie hiyo katiba mnayolinda ni katiba gani???

4 Rasirimali za nchi.
Ufisadi na wizi wa mali za umma umekithili nchin. Wanasiasa na watawala wanaiba sana rasirimali na nchi (ushahidi ni report ya CAG ya kila mwaka), nepotism serikalin tena wazi wazi, nyie mpo tu hamchukui hatua yoyote halafunatuongopea eti nyie ni jeshi la wananchi na kwamba mnalinda mipaka ya nchi na kuilinda katiba.

Mipaka hailindwi
Wananchi hawalindwi
Katiba haikindwi
Rasrimali za nchi hazilindwi.

Sasa nyie ni jeshi la kulinda nini??? Mnalinda nini??
Mnalinda watawala badala ya wananchi, katiba na rasirimali za taifa??
Wanajeshi wetu na jeshi letu kiukweli mnatusaliti wananchi.

Haya, tukisema wanannchi tuandamane kulikomboa taifa mnatusaliti kwa kuungana na polisi na watawala kutuua.

Mkunda akawaita waandamanaji eti ni wahalifu, lakini watawala wanaokiuka katiba na kuiba raslimali za taifa kwa ufisadi anawapigia saluti na kuwatii
Heshima waliyokuwa nayo imeshuka sana mtaani.
Bora hata sungusungu
 
Kwanini moderators mmeedit msrari wa mwisho kwenye huu uzi??

Nilimalizia kwa kuandika

"ku*m*a*n*i*n*a *w*a*s*e*n*g*e *n*y*i*e"
 
Ukiwakuta uraiani UNAEZA sema sijui makomando ya wapi, kumbe, unaambiwa kagame siku hizi akisikia hao jamaa wanalinda amani sehemu anapotaka Mali Huwa ana cheekq sanaaaaaaa
 
Nyerere alitupiga sana:
1. JW inalinda mipaka halafu waliomo ndani wanatekwa na mbwa mwitu.
2. Mwenge umlike nje ya mipaka yetu, Tanzania ibaki gizani.
3. Ikomboe Afrika, watanganyika wamefungwa na fisiemu. Miaka 60 ya uhuru watu hawana huduma nzuri za kijamii.
 
Back
Top Bottom