Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,621
- 4,311
Kwa ujuaji wangu kuhusiana na watu hawa wawili kwenye Thready hii inayowahusu Muheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ni kua watu hawa wanashabihiana sana hembu cheki hapa:
- Mbowe na Dr. Slaa ni wacha Mungu.
- Wanawajali na kuwastahi watu.
- Wanapenda haki na kuwajali wanyonge.
- Wanaijua na kuitetea katiba ya nchi na sheria ambayo wanataka ifanyiwe marekebisho kwa maslahi ya Watanzania wote.
- Ni wakweli wa maneno na vitendo.
- Wanashirikiana na Watanzania wote bila ubaguzi.
- Wanauwezo wakuongoza kwa upeo na upana.
- Wanapenda amani na utulivu.
- Ni waadilifu na wachapa kazi.
- Wanalipenda taifa lao.