Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

Magamba wanaujua moto wa dr na kamanda wa angani! Ndo mana wasioitakia mema nchi,wanapandikiza udini ili dr akose kura zao.
 
Kamanda umeelekewa,ila suala la matawi hadi mashinani la msingi sana na pia kadi za CHADEMA ni hadimu sana halafu watu wanahitaji kwa wingi ni changamoto sana
 
Kwa ujuaji wangu kuhusiana na watu hawa wawili kwenye Thready hii inayowahusu Muheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ni kua watu hawa wanashabihiana sana hembu cheki hapa:
  1. Mbowe na Dr. Slaa ni wacha Mungu.
  2. Wanawajali na kuwastahi watu.
  3. Wanapenda haki na kuwajali wanyonge.
  4. Wanaijua na kuitetea katiba ya nchi na sheria ambayo wanataka ifanyiwe marekebisho kwa maslahi ya Watanzania wote.
  5. Ni wakweli wa maneno na vitendo.
  6. Wanashirikiana na Watanzania wote bila ubaguzi.
  7. Wanauwezo wakuongoza kwa upeo na upana.
  8. Wanapenda amani na utulivu.
  9. Ni waadilifu na wachapa kazi.
  10. Wanalipenda taifa lao.

pia slaa analipwa mil saba na laki mbili kwa mwezi huku viongozi wengine wa chama mikoani na wilayani wakijitolea
 
Magamba wanaujua moto wa dr na kamanda wa angani! Ndo mana wasioitakia mema nchi,wanapandikiza udini ili dr akose kura zao.

Mkuu watanzania wa leo si wa jana.Angalia mgomo wa waalimu unavyotikisa nchi.CDM wameondoa wananchi uoga kabisa.
 
pia slaa analipwa mil saba na laki mbili kwa mwezi huku viongozi wengine wa chama mikoani na wilayani wakijitolea

Roho mbaya inakusumbua.Utahangaika sana Magamba.Mgomo wa walimu unakutoa roho.
 
Swala la kufungua matawi linaendelea kufanyiwa kazi vijana wametapaka kote nchini na kazi hiyo inaendelea kwa kasi nzuri hadi ngazi ya nyumba kumi, kuhusu swala la wagombea hamna zimamoto tena, kamanda mbowe alishatangaza wanachama wapeleke CV kwa katibu mkku, mpango kabambe umeshaandaliwa ili baada ya screening watakao kuwa na sifa wapigwe msasa (waandaliwe) hakuna kupokea reject tena, hayo yalisemwa DODOMA kwenye mahafari ya kuwaaga wanachama vyuo vikuu DODOMA.


SOURCE. MIMI MWENYEWE NILIKUWEPO NA MAGAZETI YALIANDIKA, SIKUMBUKI TAREHE.
 
Kwa ujuaji wangu kuhusiana na watu hawa wawili kwenye Thready hii inayowahusu Muheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ni kua watu hawa wanashabihiana sana hembu cheki hapa:
  1. Mbowe na Dr. Slaa ni wacha Mungu.
  2. Wanawajali na kuwastahi watu.
  3. Wanapenda haki na kuwajali wanyonge.
  4. Wanaijua na kuitetea katiba ya nchi na sheria ambayo wanataka ifanyiwe marekebisho kwa maslahi ya Watanzania wote.
  5. Ni wakweli wa maneno na vitendo.
  6. Wanashirikiana na Watanzania wote bila ubaguzi.
  7. Wanauwezo wakuongoza kwa upeo na upana.
  8. Wanapenda amani na utulivu.
  9. Ni waadilifu na wachapa kazi.
  10. Wanalipenda taifa lao.

ur totaly ryt
 
umeacha siasa mbali ukamwaga ukwel ulvyo. Tz ingepata vjana makn wenye utash na ukwel 2ngekuwa mbali...nimeipenda haina shumv wala kachumbal imesimamia ukwel
 
Back
Top Bottom