Unazikumbuka hizi cartoon?

Unazikumbuka hizi cartoon?

Kipindi hicho tunangombania no.
Za characters humu
Screenshot_20220413-074942_Google.jpg
81v%2BmnUr6XL._RI_.jpg
 
Fat dog
Super Mario
Pink panther
Supa strika
Power puff girls
Etc
My favorite of all time Naruto, lion king & avatar the last Airbender
 
👉Martin Mystery
images-25.jpeg
hawa jamaa walikuwa kama movies za king'sman zilivyo. Wanajidai wanasoma chuo ila likitokea tukio la kuhatarisha usalama wa watu wanaingia mzigoni kulitatua.


👉Marsupilami
View attachment 2180450

👉Scooby-Doo Where Are You!View attachment 2180449

Hizi cartoon mliona nyinyi wazazi wenu walikwenda kubeba mabox Ughaibuni!! Sisi tulikulia vipidi vay redio vya Shangazi Deborah Mwenda!!
 
Kwa bahati mbaya wakati Agape inaanza nilikuwa nimeshaacha kuangalia cartoon nadhani ndo maana hata hiyo Superbook siijui!

Nilihamia kwenye mieleka ya kina NWO na movie za kina Timetrax, Renegade, V n.k baada ya kumalizana na kina Tom & Jerry.
Hivi Tom na Jerry hawatoi mpya siku hizi? Maana kila clip ninayoiutana nayo nilishaiona
 
Kwa wale wataalam walikuwa wanaelewa. Saa kumi jioni lazima uwe ktk tv unaangalia kids corner Channel 10.
Hahaaaaa...

Ikifika hatua hadi unawajua maproducers wa katuni. Kwa mfano Tom na Jerry walikuwa na character mbili za Tom na Jerry. Kuna Tom mzuri na mbaya the same to Jerry yaani jinsi walivyochorwa mpka vichekesho vyao vilikuwa tofauti. So tulikuwa tunaangalia producer ni nani kama alikuwa ni Fred Quimbi mambo yalikuwa super hahaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom