James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,576
- 2,664
Street Football?
Nimeshangaa baadhi ya channel kutajwa! Hivi kati ya TVT na Agape, ipi ilitangulia?Inavyoonesha wengi humu wana miaka kati ya 18 na 23, kumbe wengi ni vjjana tu au young adults.
Kwel siku hiz hawana cartoon nzuri had kuna mda nahis zipo CN nyingi ila hii inayorusha matangazo yake huku kwetu ni ile yenye cartoon za bei ndogoKatika Cartoon za mwisho mwisho nilizoziangalia nikiwa na umri wangu mkubwa ni hizo Camp Lazlo, Robot boy, Skunk Fu, Ben 10, Juniper Lee, My gym partner's a monkey na nyinginezo.
Siku hizi Cartoon network hawatengenezi cartoon kali sijui shida nini.
Nimebaki kuangalia animation movies tu.
Kuna the stones
Yaaaap ao ao 😊😊😊😊Sio una maanisha the flintstones...
Daaah, kwahiyo mwamba aliangalia cartoon Agape! HymenTVT ilitangulia
Kwa bahati mbaya wakati Agape inaanza nilikuwa nimeshaacha kuangalia cartoon nadhani ndo maana hata hiyo Superbook siijui!Kwan ww agape umeijua mwaka gan?
Cartoon ya superbook ilikuwa inaoneshwa ATN
View attachment 2181559
Enzi hizo agape ilikuwa inarusha had mechi za UEFA