Unazikumbuka hizi cartoon?

Patra31

JF-Expert Member
Apr 24, 2020
6,656
13,181
Zilitukuza enzi hizo mimi na jamaa zangu tulikuwa tuna ratiba nzima. Ilikuwa kila siku za juma3 had ijumaa kuanzia saa 15:00H - 18:00H channel 10, tv Mozambique, TIM, ITV na Agape TV walitupa burudani wapenz wa cartoons.

Acha leo nikumbushie cartoon zangu za enzi hizo nakuwa:-

👉Pink and the brain
pink and the brain.png


👉Courage the Cowardly Dog
images-6.jpeg



👉Dexter's Laboratory
images-7.jpeg



👉Ed, Edd n Eddy
images-9.jpeg

humu kuna moja kati ya character mjinga kuwai kutokea kwenye ulimwengu wa animation😂😂😂

👉The Powerpuff Girls
images-10.jpeg



👉johnny bravo
images-1.png

mwili mkubwa nguvu kisoda

👉double dragon.
images-11.jpeg



👉Ben 10:
images-12.jpeg

hii ilikuwa moto hasa ile ya kwanza inayowaonesha kabla hawajawa wakubwa
images-13.jpeg

kevin ndio alikuwa villian character aliyekuwa anamsumbua sana ben10 kwan alikuwa anauwezo wa kutumia had styles 4 za ben10 kwenye umbo moja.

👉popeye and son
images-14.jpeg

wazee wa kula spinach ili kuwa na nguvu.

👉superbook bible stories
images-15.jpeg
hii ilikuwa nzuri kwa watoto. Ilihusu matukio ya kwenye biblia.

👉Tom and Jerry
images-16.jpeg


👉galactik football
images-17.jpeg

humu kuna chenga na rafu za hatari.

👉Robotboy
images-19.jpeg


download.jpeg



👉megas xlr
images-20.jpeg



👉Totally Spies
images-21.jpeg



👉codename Kids Next Door
images-22.jpeg



👉the life and times of juniper lee
images-23.jpeg



👉Code Lyoko
images-24.jpeg
 
👉Martin Mystery
images-25.jpeg
hawa jamaa walikuwa kama movies za king'sman zilivyo. Wanajidai wanasoma chuo ila likitokea tukio la kuhatarisha usalama wa watu wanaingia mzigoni kulitatua.


👉Marsupilami
images-26.jpeg


👉Scooby-Doo Where Are You!
images-27.jpeg
 
Zilitukuza enzi hizo mimi na jamaa zangu tulikuwa tuna ratiba nzima. Ilikuwa kila siku za juma3 had ijumaa kuanzia saa 15:00H - 18:00H channel 10, tv Mozambique, TIM, ITV na Agape TV walitupa burudani wapenz wa cartoons.

Acha leo nikumbushie cartoon zangu za enzi hizo nakuwa:-

👉Pink and the brain
View attachment 2180459

👉Courage the Cowardly Dog
images-6.jpeg



👉Dexter's Laboratory
images-7.jpeg



👉Ed, Edd n Eddy
images-9.jpeg

humu kuna moja kati ya character mjinga kuwai kutokea kwenye ulimwengu wa animation😂😂😂

👉The Powerpuff Girls
images-10.jpeg



👉johnny bravo
images-1.png

mwili mkubwa nguvu kisoda

👉double dragon.
images-11.jpeg



👉Ben 10:
images-12.jpeg

hii ilikuwa moto hasa ile ya kwanza inayowaonesha kabla hawajawa wakubwa
images-13.jpeg

kevin ndio alikuwa villian character aliyekuwa anamsumbua sana ben10 kwan alikuwa anauwezo wa kutumia had styles 4 za ben10 kwenye umbo moja.

👉popeye and son
images-14.jpeg

wazee wa kula spinach ili kuwa na nguvu.

👉superbook bible stories
images-15.jpeg
hii ilikuwa nzuri kwa watoto. Ilihusu matukio ya kwenye biblia.

👉Tom and Jerry
images-16.jpeg


👉galactik football
images-17.jpeg

humu kuna chenga na rafu za hatari.

👉Robotboy
images-19.jpeg


download.jpeg



👉megas xlr
images-20.jpeg



👉Totally Spies
images-21.jpeg



👉codename Kids Next Door
images-22.jpeg



👉the life and times of juniper lee
images-23.jpeg



👉Code Lyoko
images-24.jpeg
Kuna the stones
 
bado camp lazo kuchekesha noma

Bakugan hii ni battle napenda dragon anamilikiwa na dogo mmoja ivi wana kama chip za kuingia kweny uwanja wa kupambanisha izo toys zao hata kama wako barabarani kuna maneno wanasema basi wanarusha kama wanaingia sehemu nyingine wanarusha zile vi toy kama kete za duara basi zinatokea mnyama mkubwa wanapambana

Chop socky chooks hii wanapamabana sana na wale nyani kama watu iko poa kuna mchina kuna demu wako kama watatu au wanne kitambo sana


ila ben tena kipind icho saa nne channel ten noma sana nampenda lile kubwa linaitwa Humungosaur lina nguvu grand max na yule dada yake Gwen baada walivyokuwa wakubwa akaongezeka yule kelvin akishika chuma mwili unakuwa chuma
 
Chop socky chooks hii wanapamabana sana na wale nyani kama watu iko poa kuna mchina kuna demu wako kama watatu au wanne kitambo sana
Alaf kuna movie moja ya action ya zaman walitoa kama hao nyan had kuchomeka chanuo kwenye nywele yan.
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom