Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,164
- 16,254
channel ten ilikuwa burudani sana
Ila zinazotoka siku hizi ni za ovyo mno sio kama zile za zaman
Umenikumbusha mbali mkuu...
Nikiwahi kumuandikia mwali kabarua, kisha akakapeleka kwa mwalimu wa darasa na kesho yake nikaambiwa nikasome hako kabarua mstarini....
Weee hakuna rangi yenye niliacha kuiona kwa kipigo...
Labda kamaanisha the Flintstones.Hio siifahamu
Kaka zangu Sana wa faida.
HAKUNA Kama Hawa na hawatakuja kuwepoView attachment 2180646
Hakuna atakayetokea kutengeneza cartoon bora kama hii
Daah ulikua mdau...., Kuna wale The adrenaline.bado camp lazo kuchekesha noma
Bakugan hii ni battle napenda dragon anamilikiwa na dogo mmoja ivi wana kama chip za kuingia kweny uwanja wa kupambanisha izo toys zao hata kama wako barabarani kuna maneno wanasema basi wanarusha kama wanaingia sehemu nyingine wanarusha zile vi toy kama kete za duara basi zinatokea mnyama mkubwa wanapambana
Chop socky chooks hii wanapamabana sana na wale nyani kama watu iko poa kuna mchina kuna demu wako kama watatu au wanne kitambo sana
ila ben tena kipind icho saa nne channel ten noma sana nampenda lile kubwa linaitwa Humungosaur lina nguvu grand max na yule dada yake Gwen baada walivyokuwa wakubwa akaongezeka yule kelvin akishika chuma mwili unakuwa chuma
Tena zikiisha najua kabisa inakuja hii we acha tu maisha hayaDaah ulikua mdau...., Kuna wale The adrenaline.
Hivi miaka ile channel 10 ilikua ya ccm?
Kama umeona hii na unaikumbuka basi tuko pamoja.View attachment 2180714