Unazijua couples zilizomo humu JF.?

Couples ni zile za wapenzi tu au tunaweza kutaja mtu na deskmate wake etc?
Suala zuri, tumsubirie Mmasi afafanue, si ndio maana nimeuliza maana ya couples kwa kiswahili lakini amenichimba bonge la mkwala ikabidi niombe razi
 
Suala zuri, tumsubirie Mmasi afafanue, si ndio maana nimeuliza maana ya couples kwa kiswahili lakini amenichimba bonge la mkwala ikabidi niombe razi
Kumbe? maana mi nina hamu kweli ya kumtaja dada fulani na deskmate wake! wanapendeza...
 
Asprin na Gaga ila kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa zinasema kuwa Asprin kaachika, King'asti na MTM, Mwali na Fidel80, Bishanga na Eliza wa tegeta, Afrodenz na Saint Ivuga, PakaJimmy na tetea tete, Preta na Bigirita, bht na Nyani Ngabu, Gaijin na Rejao, Mj1 na mbu, Sweetlady na klorokwini, Ashadii na Kaizer, Husninyo na uporoto01, The Finest na Lizzy, Kongosho na The Boss, Kabakabana na Excellent.


Preta na Bigirita mbona hawa ni KE wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom