sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Khaaa!the finest na nasjaz...
Hiyo ni tofauti tambi na mboga ya majani kama mwanamuziki Yondo na Marijani...lol.
Khaaa!the finest na nasjaz...
Enheee. . .za gossip yetu bado ni undergroung
kuna ya Lizzy na Afrodenzi
huwa wanataka kupindua Iraq ila wameshindwa
Ahaaa...Enheee. . .
Umeishamaliza kunywa chai juu ya bati au bado uko juu..Khaaa!
Hiyo ni tofauti tambi na mboga ya majani kama mwanamuziki Yondo na Marijani...lol.
Umeishamaliza kunywa chai juu ya bati au bado uko juu..
Helikopta ya mkuu wa kaya imenletea na ugali, ndio nakula hapa...Umeishamaliza kunywa chai juu ya bati au bado uko juu..
Ahaaa...
Dah! Ila una vituko nasikia jana mkuu wa kaya alipokuja kukutembelea kukuuliza unaendeleaje ukagoma kabisa kumjibu akabakia ana duwaa mwenyewe..Helikopta ya mkuu wa kaya imenletea na ugali, ndio nakula hapa...
Hashuki mtu asee mpaka mamlaka ya hali ya hewa watangaze kuwa patakuwepo na ukame wa hapa na pale..
Unauliza umbea kwa baba wa kambo..lolUmbea tu!!
Juu ya Dari kama Fidel..leo kanywa chai darini kabisa,maji yapo dirishani bado...lol
Hahaha! Boss hii ni sawa na upeleke Red Label, Black Label na Whisky zingine kule Iran..
Unauliza umbea kwa baba wa kambo..lol
Hii avatar inantatiza kila nikiiona,
Mtata si kidogo naona kwenye list umewekwa na mzee wa mbusi..lolhivi umesoma list ya sweetlady....?....mtata sana huyu binti.....
Umbea tu!!
Mtata si kidogo naona kwenye list umewekwa na mzee wa mbusi..lol
kuna couple humu? ngoja nione