sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Umeonae!... Afu mbona hunikaribishi jumapili?Mie mwenyewe nimeshituka kweli eti mtoto kha?
Umeonae!... Afu mbona hunikaribishi jumapili?Mie mwenyewe nimeshituka kweli eti mtoto kha?
Utasutwa, kwani mie si nimeshaitaja hiyo kapo?
Salio langu halitoshelezi, naomba nirecharge basi swahiba.MPM Invisible
Umeonae!... Afu mbona hunikaribishi jumapili?
Lol, mke mwenza acha kuntengua mbavu jamani khaaa, hivi kumbe PAW ndio kakake ashadii? Ungekuwa wifi angu ningekupendaje manake tungekuwa tunaenda wote vekesheni kaka tunamwacha nyumbani.. Huyu mkweo anajishaua na huyo uporoto wake kwani nani hajui kuwa ni mrs uporoto?Muache atie msisitizo wasije watoto wa mjini wakamuwahi banaa! Afu wewe unanitaja na shemeji yangu wakati unajua kabisa mie natoka na PAW? Mkemwenza mgomvi wewe, ungekuwa wifi yangu ungeshaniondoa kwa mdundiko wa kwa mtogole!
Haya zunguka huku getini unipatie kadi yangu....mie mlinzi kagoma kunifungulia.Wewe acha kusema kwa nguvu basi mambo mengine ni ya faragha
.. Huyu mkweo anajishaua na huyo uporoto wake kwani nani hajui kuwa ni mrs uporoto?
Lol, mke mwenza acha kuntengua mbavu jamani khaaa, hivi kumbe PAW ndio kakake ashadii? Ungekuwa wifi angu ningekupendaje manake tungekuwa tunaenda wote vekesheni kaka tunamwacha nyumbani.. Huyu mkweo anajishaua na huyo uporoto wake kwani nani hajui kuwa ni mrs uporoto?
Hehehe, swahiba huo ulikuwa mpasho kwa mamkwe bana wewe wala huhusiki, na umeanza lini tabia ya kusoma siri za mamkwe wako?...unacheka nae unakula nae kumbe mwenzako anaona gere....
sio eti anayo ila ukitaka na wewe tutakutafutia,sawa we mtoti?
Hehehe, swahiba huo ulikuwa mpasho kwa mamkwe bana wewe wala huhusiki, na umeanza lini tabia ya kusoma siri za mamkwe wako?...
Uwi mbavu zangu!!! Pingu mpaka kiunoni??? Kweli mumeo PAW ni noma, ila nashukuru vile hampigi bani honey wangu kloro manake pangechimbika bila jembe humu jf, si unajua kloro ni lawyer....afu wifi yetu kapotelea wapi?Lol! Leo nimetoboa siri, hujawakuta AshaDii na Paw wanasifiana, NN akirusha mateke saa hiyo ana pingu mikononi, miguuni na kiunoni! Hiyo scene huwa naipendaga! na huoni siku hizi mumeo Kloro hapigwi pingu na shemeji yake? Afadhali ww mke mwenza manake tungeachika,kha!
Muache Husn ajidai banaa, hata ww ungekuwa mrs uporoto najua bichwa lingekupasuka! Lol
mi nafatilia tu nyendo zako swahiba na sahv kuja kwangu mpaka uporoto awe hayupo maana nishaona dalili za kuibiwa.
Khaaa, sasa itakuaje wakati mamkwe wako keshanambia jumapili nimsindikize tuje kwenu? Basi swahiba mie ntakuja nimevaa hijab na nikabu kabisa ili tusitizamane na shemeji uporoto... Sawa eeh?mi nafatilia tu nyendo zako swahiba na sahv kuja kwangu mpaka uporoto awe hayupo maana nishaona dalili za kuibiwa.
Uwi mbavu zangu!!! Pingu mpaka kiunoni??? Kweli mumeo PAW ni noma, ila nashukuru vile hampigi bani honey wangu kloro manake pangechimbika bila jembe humu jf, si unajua kloro ni lawyer....afu wifi yetu kapotelea wapi?
Lol, afazali wantetea mke mwenza, mie nshajishonea gauni la kutokea jpili afu anataka kunzibia..au hajafundwa huyu mkweo eeh?Mkwe taratibu, hana meno huyu usimuogope. Mapenzi yamekuwa magumu watu wana wasiwasi hadi na aunt zao,lol!
Wifi nafurahi kukuona hapa, Kaka kaizer aliaga anaenda kumnunulia King viatu manake vile alivomletea jana vimekuwa vikubwa, tumempa husninyo....Nyie wifi zangu wapenzi hapo juu what are you doing? Alafu hivi nimewaambia nimewamiss? Na tafadhali yeyote yule aliemuona Sweetie naomba mumuambie namtafuta... Maana nahisi naibiwa ati! lol
Wifi nafurahi kukuona hapa, Kaka kaizer aliaga anaenda kumnunulia King viatu manake vile alivomletea jana vimekuwa vikubwa, tumempa husninyo....