The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
At least you are here presha imepunga loh..unataka kunitoa roho haujui niko katika maandalizi ya mwisho..Alikua anatetea wala vumbi. . . .
At least you are here presha imepunga loh..unataka kunitoa roho haujui niko katika maandalizi ya mwisho..Alikua anatetea wala vumbi. . . .
At least you are here presha imepunga loh..unataka kunitoa roho haujui niko katika maandalizi ya mwisho..
Dah! Baadae nitakucheki kijiweni kwetu kulee aisee si unajua ninavyopenda sapraizzHahahaha. . .alafu wewe nna bonge la sapraiz.Zuri kwangu ila sijui kwako. . ,
Jamani hata mimi mwenye siredi ni mekosa kapo hebu jitokezeni kati ya hawa Ashadii,mama tuli,lizzy,sweetlady na wengine am so handsome trust!
Alikosa donor wa ku-fund utafiti wakeWee Mmasi acha MANIPULATION! Nilisha kutajia kapo za nguvu kama 10.... Haya sema utafiti umeishia wapi then mengine tutalonga zaidi.....lol
Alikosa donor wa ku-fund utafiti wake
El Toro na Fe Lady mtatutaka....
invisible na RR
Hii avatar inantatiza kila nikiiona,
inannihiii
dah! ...invisible na RR
Acha tu, lile linaitwa tabasamu la kidwanzi, yaani mtu anatabasamu bila kuwa na feeling yoyote. Ni sawa unasalimia watu msibani halafu unatoa tabasamu pana, huku ukiuliza kama utapata kilimanjaro baridi? Ukisisitiza ziwe baridi sana!Sasa ningemjibu nini wakati hali halisi alikuwa anaiona mwenyewe, mtu unamwona ananywea chai juu ya bati afu unamwuliza anaelendeaje?!! Kilichonikera zaidi ni lile tabasam lake bana, mafuriko na tabasam wapi na wapi?