Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

Kama unamuamini mungu kila unachopitia ni mpango wake mungu.

Kama wewe ni masikini huo ni mpango wake,

Kama umedhulumiwa huo ni mpango wake,

Utawala wa CCM ni mpango wake,

Kama unaumwa huo ni mpango wake,

Ukifiwa ni mpango wake,
Ukifungwa ni mpango wake,

Wewe kufa kwa kifo chochote ni mpango wake,
We acha tu ,
Mtu ukifikilia sana unaweza ukakufuru bure
 
Kama unamuamini mungu kila unachopitia ni mpango wake mungu.

Kama wewe ni masikini huo ni mpango wake,

Kama umedhulumiwa huo ni mpango wake,

Utawala wa CCM ni mpango wake,

Kama unaumwa huo ni mpango wake,

Ukifiwa ni mpango wake,
Ukifungwa ni mpango wake,

Wewe kufa kwa kifo chochote ni mpango wake,
Mungu haingilii maisha yako, ni wewe unajipangia mwenyewe
 
UNataka kusema waumini hawafahamu wanachokiamini? Au una maana gani?
Binafsi sikuelewi hebu rudia comments..
Mimi ndo nilikuuliza unahukumu kulingana na mtaa au kulingana na sheria za Mungu?
Tena unaniuliza nilichokuuliza!
 
Binafsi sikuelewi hebu rudia comments..
Mimi ndo nilikuuliza unahukumu kulingana na mtaa au kulingana na sheria za Mungu?
Tena unaniuliza nilichokuuliza!
Katika mfano huu natumia mtaa, ambao taswira hii ipo kwa baadhi ya waumini, hivyo nakuuliza waumini hao hawafahamu wanachokiamini?
 
Katika mfano huu natumia mtaa, ambao taswira hii ipo kwa baadhi ya waumini, hivyo nakuuliza waumini hao hawafahamu wanachokiamini?
Kuamini kwenye nini sasa?
Maana hapa tunazungumzia kila jambo ni mapango wa Mungu
Wewe unazungumzia kuamini kwenye hili hili au hata jingine?
 
Kuamini kwenye nini sasa?
Maana hapa tunazungumzia kila jambo ni mapango wa Mungu
Wewe unazungumzia kuamini kwenye hili hili au hata jingine?
Yeye alivyo andika ni mpango wa Mungu , unakosoa mpango wa Mungu? Ila hata ulivyokosoa pia ni Mpngo wa Mungu, na hata mimi ninavyosema hivi ni mpngo wa Mungu tu
 
Back
Top Bottom