Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,173
- 92,746
Nitext tsapNakupiem naona inafeli , umefunga pm wewe
Nitext tsapNakupiem naona inafeli , umefunga pm wewe
Hebu pumzika usije kujioverdose na maswali.Shetani alizingua mwenyewe kutamani nafasi ya muumba wake
Ila walioshuhudia mipango ya mungu ndio wa kushanta!Hebu pumzika usije kujioverdose na maswali.
Mana hakuna alieshuhudilia kuwa shetani alitamani nafasi ya Muumba wake.
Hii mada haifiki mwishoHuo nao ulikuwa mpango wa mungu.
Kwanini asiumbe binadamu wa kutenda mema tuKwamba yeye amekukataza usifanye wewe ukafanya na unasema ni mpango wake?
Sasa alikukataza ili iweje?
Kama ni free will kwanini mtu ahukumiwe Kwa kufanya jambo linalomchukiza huyo MunguFree will..
Huyo Shetani mwenyewe ni Mpango wa MunguWa shetani
Hakika........mkuuUmasikini unaanzia akilini na rohoni
Ukiona nabishana mambo haya unafurahia eeh?
kwamba shetani kafanya shambulio la kushtukiza? , ukiangalia muundo ulivyo kimsingi sana waumini wanatakiwa kumsapoti shetani maana anaplay nafasi muhimu sana na jukumu alilopewa, tofauti na hapo ni kama mnasema shetani amemzidi nguvuHii mada haifiki mwisho
Kwa hiyo hata waliotekwa,watakaao tekwa waamini ni mpango wa Mungu,🤔Kama unamuamini mungu kila unachopitia ni mpango wake mungu.
Kama wewe ni masikini huo ni mpango wake,
Kama umedhulumiwa huo ni mpango wake,
Utawala wa CCM ni mpango wake,
Kama unaumwa huo ni mpango wake,
Ukifiwa ni mpango wake,
Ukifungwa ni mpango wake,
Ukiibiwa ni mpango wa mungu,
Ukibakwa au kupakwa mafuta ni mpango wa mungu,
Wewe kufa kwa kifo chochote ni mpango wake,
Ni mada ambayo nikiiona lazima jina lako linijie la kwanza. Kuna ndugu LIKUD yeye tayari anajulikana kwenye mada zinazohusu shule za private na serikali.Ukiona nabishana mambo haya unafurahia eeh?