min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,837
- 169,677
Ni mapango wa Mungu 😅Kuwapigia raia nyeto usoni?
Ni mapango wa Mungu 😅Kuwapigia raia nyeto usoni?
Huelewi sehemu gani mkuu,Kuamini kwenye nini sasa?
Maana hapa tunazungumzia kila jambo ni mapango wa Mungu
Wewe unazungumzia kuamini kwenye hili hili au hata jingine?
Kutoelewa kwake ni mpango wa Mungu bwasheeHuelewi sehemu gani mkuu,
Nimekupa mfano kutoka mtaa, mtu kwenda jela na karudi kawa mshika ibada kwelikweli jamii(waumini) inasema ni mpango, wewe umekataa jambo hili kwamba sio mpango, mimi ndo nakuuliza sasa unamaanisha kwamba wale waumini hawafahamu wanachokiamini? maana according to wao ni mpango na wanajivunia jambo hilo kwenda hivyo
Kabisa kama imepangwa asielewe , basi hawezi kuelewa yaniKutoelewa kwake ni mpango wa Mungu bwashee
Ni mpango wa Mungu etiKuwapigia raia nyeto usoni?
So kweli..Ni mpango wa Mungu eti
Kumbe ni mpango wa nani?So kweli..
Wa shetaniKumbe ni mpango wa nani?
Hata wewe kunipinga ni mpango wa MunguSo kweli..
Huyo shetani alitokea wapi kama sio Mungu kumuumba ili aje atekeleze mipango ya Mungu!Wa shetani
Madai yako pia ni mpango wa Mungu tuMungu hayupo hayo ni mawazo yako tu😂😂
ili kuondoa haya madai inabidi Mungu asiwepo maana akiwepo Mungu vitu vingi vinakwama dunianiMadai yako pia ni mpango wa Mungu tu
Hebu nitafute jamani nina jambo la muhimu au ndio wa mungu kujisahaulisha?Hata wewe kunipinga ni mpango wa Mungu
Shetani alizingua mwenyewe kutamani nafasi ya muumba wakeHuyo shetani alitokea wapi kama sio Mungu kumuumba ili aje atekeleze mipango ya Mungu!
Au na hili la shetani unakataa sio mpango wa Mungu?
Nakupiem naona inafeli , umefunga pm weweHebu nitafute jamani nina jambo la muhimu au ndio wa mungu kujisahaulisha?