Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

Unayopitia yote ni mpango wa mungu.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
63,244
Reaction score
106,677
Kama unamuamini mungu kila unachopitia ni mpango wake mungu.

Kama wewe ni masikini huo ni mpango wake,

Kama umedhulumiwa huo ni mpango wake,

Utawala wa CCM ni mpango wake,

Kama unaumwa huo ni mpango wake,

Ukifiwa ni mpango wake,
Ukifungwa ni mpango wake,

Ukiibiwa ni mpango wa mungu,

Ukibakwa au kupakwa mafuta ni mpango wa mungu,

Wewe kufa kwa kifo chochote ni mpango wake,
 
Umeambiwa moja ya makosa /amri za Mungu ni kuwa usiibe.
Wewe uibe ufungwe iwe ni mpango wake?
Yawezekana , maana ikiwa mtu huyo akaenda humo gerezani na baada ya kifungo hiko akarudi uraiani kama muumini kweli kweli, waumini wwngi husema ule ni mpango wake na njia zake hazichunguziki, au unasemaje mkuu
 
Yawezekana , maana ikiwa mtu huyo akaenda humo gerezani na baada ya kifungo hiko akarudi uraiani kama muumini kweli kweli, waumini wwngi husema ule ni mpango wake na njia zake hazichunguziki, au unasemaje mkuu
Kwani muumini ndo hawezi iba?
Yaani wewe muumini uibe ushtakiwe ufungwe halafu useme ni mpango wa Mungu na huku huyo Mungu kakuumba na akili ya kujua baya na zuri tena kakukataza usiibe !
Hapo mpango wa Mungu unaingiaje wakati ni ujinga wako?
 
Bwashee achana na mambo ya Mungu maana tukianza kujadili hatutomaliza


Niamini mimi Kuna mambo mengi Mungu anasingiziwa ni basi tu

Ni kwa vile sina uhakika na usalama wangu kwa vile mashushushu wengi

Lakini kusema kwamba kila kinachotokea ni mpango wa Mungu

Nakataaa
 
Kwani muumini ndo hawezi iba?
Yaani wewe muumini uibe ushtakiwe ufungwe halafu useme ni mpango wa Mungu na huku huyo Mungu kakuumba na akili ya kujua baya na zuri tena kakukataza usiibe !
Hapo mpango wa Mungu unaingiaje wakati ni ujinga wako?
Ukiwa mjinga ni mpango wa mungu.
 
Kwani muumini ndo hawezi iba?
Yaani wewe muumini uibe ushtakiwe ufungwe halafu useme ni mpango wa Mungu na huku huyo Mungu kakuumba na akili ya kujua baya na zuri tena kakukataza usiibe !
Hapo mpango wa Mungu unaingiaje wakati ni ujinga wako?
Sijasema muumini hawezi iba nimekupa tu moja ya mfano sio lazima mfano uwe ndp hitimisho bali ni uhalisia ulipo huku mtaani .

Hapo kwenye bold, akili hizo unazosema watu wamepewa wakazitumia na kuona haya mambo ni uongo, nini kitawakuta huko baadae?
 
Sijasema muumini hawezi iba nimekupa tu moja ya mfano sio lazima mfano uwe ndp hitimisho bali ni uhalisia ulipo huku mtaani .

Hapo kwenye bold, akili hizo unazosema watu wamepewa wakazitumia na kuona haya mambo ni uongo, nini kitawakuta huko baadae?
Ahaa kumbe wewe unatoa hukumu kulingana na mtaa sio?
 
Back
Top Bottom