Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,809
- 152,950
Mungu huyu anayehubiriwa angekuwapo hata hii mijadala isingewezekana kuwapo.Ni mada ambayo nikiiona lazima jina lako linijie la kwanza. Kuna ndugu LIKUD yeye tayari anajulikana kwenye mada zinazohusu shule za private na serikali.
Kuwapo kwa mijadala ni ushahidi Mungu hayupo, tumemtunga sisi wenyewe kama muhusika wa hadithi yetu tu.