Labda Kama wamemsajili sasa. Nakumbuka alikuwa born town naakina PROF NDUMILAKUWILIHapo sijamwona chapombe sokomoko!
Hii timu ilikuwa na mazoezi makali Sana chini ya mama betina.watoto wa "school bus" watatoka kapa hapa
![]()
Kuna zoezi lile la kuchemshwa kwenye karai, la kupiga vichwa mawe... heheheeHii timu ilikuwa na mazoezi makali Sana chini ya mama betina.
Hilo shati la mzee kobelo lina historia yake.
Mchezaji wao mapung'o alishawahi pata zali lakwenda ulaya hii nikutokana na kuzingatia mazoezi ya mama betinaKuna zoezi lile la kuchemshwa kwenye karai, la kupiga vichwa mawe... hehehee
Nasikia ndiyo ngolo kante [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mchezaji wao mapung'o alishawahi pata zali lakwenda ulaya hii nikutokana na kuzingatia mazoezi ya mama betina
Huyu ndo alikuwa anaobeba timu.Namwona Mzee Meko hapo midfielder kisheti...
Lodi lofa alikuwa WA town mkuu Na usafiri wake pendwaHapo kwa walio simama kutokea kushoto
Namuona Komled kipepe na Lodilofa
Kwa walio mstari wa mchini namuona Madenge akiwa anatoa tabasamu zuri kabisa..
Namuon kijana mwenye kapelo pale juuu karibu na kipepe, atakuwa si kweli??Lodi lofa alikuwa WA town mkuu Na usafiri wake pendwa
Namuon kijana mwenye kapelo pale juuu karibu na kipepe, atakuwa si kweli??