Habari,
Naomba tuelimishane kuhusu mikopo ya bank kwa wafanyakasi na wafanya biashara.
Pale umefanikisha kurudisha mkopo wao wote, wanatakiwa kukupa nini
Je, utarudisha mkopo uondoke zako bila kupewa chochote, nauliza kwakua unapo chukua mkopo, unasign mikataba, unajaza fomu, unandika barua za ofisini, serikali za mitaa, unalipa riba, hati miliki, salary slips, hata kurudisha mkopo pia, unandika barua mambo ni mengi.
Sasa umefanya vyote ivyo, vizuri kabisa na umerudisha mkopo wao wote vizuri kabisa, kuna cheti chochote unapewa!
Je, wanarudisha riba yako!? Naomba kufahamu wanatakiwa kukupa nini, baada ya kukamilisha kurudisha mkopo wao wote.
Naomba tuelimishane kuhusu mikopo ya bank kwa wafanyakasi na wafanya biashara.
Pale umefanikisha kurudisha mkopo wao wote, wanatakiwa kukupa nini
Je, utarudisha mkopo uondoke zako bila kupewa chochote, nauliza kwakua unapo chukua mkopo, unasign mikataba, unajaza fomu, unandika barua za ofisini, serikali za mitaa, unalipa riba, hati miliki, salary slips, hata kurudisha mkopo pia, unandika barua mambo ni mengi.
Sasa umefanya vyote ivyo, vizuri kabisa na umerudisha mkopo wao wote vizuri kabisa, kuna cheti chochote unapewa!
Je, wanarudisha riba yako!? Naomba kufahamu wanatakiwa kukupa nini, baada ya kukamilisha kurudisha mkopo wao wote.