NAJe Mwenyekiti wa CDM anachaguliwa na Umma?
NAPE KAKULIPA NGAPI MBONA UNAHANGAIKA SANA UNACHOONGEA HAKIELEWEKI NEXT TIME JIPANGE USIJE KAMA CCM PALE JANGWANI HAKUNA HOJA ZAIDI YA WASANII:A S thumbs_down:
NAJe Mwenyekiti wa CDM anachaguliwa na Umma?
Una maanisha nini unaposema Umma?Je Mwenyekiti wa CDM anachaguliwa na Umma?
may your soul rest in peace amenchadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa chadema ni mzee mtei ambaye alitofautiana na baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za imf mtei alikuwa anaunga mkono bali nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
Chadema kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na chadema kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
Na hii ni hatari sana.
Mimi sija sema hakina uhalali kisheria hapa ni mfumo wake jinsi ulivyo.
1. Ninataka ulete historia ya chadema na utendaji wake wa kazi.
2. Ni kwanini Nyerere na Mtei walikorofishana na ikapelekea Mtei ahame na kuanzisha CHADEMA?
3. Nieleze kwanini Kaburu alihama CHADEMA na kurudi CCM?
4. Nchi kama ya china si ya kibepari lakini ndio sasa inayo tisha kiuchumi duniani. So sisi watanzania hatutaki Kuwa na UTAWALA BORA bali UONGOZI BORA, hii ndio MSINGI MKUU WA CCM.
CCM wamejikwaa sasa wanarejea mwanzo.
Nikuulize swali na unijibu usikwepe. Msingi mkuu wa CHADEMA ni nini?
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.
Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
Annael, hebu tuambie ni nani alieliua Azimio la Arusha na misingi yake ya ujamaa na kujitegemea kule Zanzibar? kama sikosei ni kamati kuu ya CHADEMA chini ya uenyekiti wa mzee ruksa a.k.a mzee Ali Hasan Mwinyi! au vipi? ebu tupe Darsa mkuu mchambuzi wa mambo ya CHADEMA!
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.
Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
na hii ni hatari sana.
Kwa hiyo kwa kili zako CCM inafuata siasa za ujamaa au hata hujui unachokiandika?
Zingatia kinachofanywa na CCM sasa hivi kisha njoo uandike upya. Maana mafisadi wako chama gani na wezi wa pesa zetu za umma wako chama gani... ni CCM...na je lengo lao ni nini kama siyo kuwa mabepari bila jasho? heri CDM wao kama watapenda kuwa Mapepari kwa kila mtu na jasho lake ubaya uko wapi?? Endapo mtu atazingatia kufanya kazi atakuwa na pesa hatimaye, na siyo nyie CCM mtu anapenda kuwa tajiri na bepari wa kitupwa but kwa kutuibia yaani ufisadi...EPA, Richmond, IPTL, Song gas, n.k, soma pia report ya CAG ya sasa na hata zilizopita je hao wote ni CDM? Bado uko usingizini amka!!!!
Waulize CCM mimi sio CCM sawa tafadhar bwana.