We mimi napenda kubembelezwa na kudekezwa.Unataka au hutaki? ๐ซฃ
Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? ๐
Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie
Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)
Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu๐
Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana๐
Basi bhana, sijui hata ilikuaje
Kulikua na moment fulani hivi๐
Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha
Nikasema, Weee... inanukia balaa
Basi bhana... Bluetooth connected ๐
Bonge la moment, issue ikawa deep
Basi bhana, si nikashtuka
La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...
Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?
Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?
Thank you JF tutakuna next time ๐ซ
ShesRise_1 ๐ค
Bibi yupo wapi๐คNi kamda kidogo mjukuu ๐
Acha tu mjukuu, bibi yupo busy na dunia๐ฅฒBibi yupo wapi๐ค
Unajua umenihamisha ujue.Karibu sweetie ๐ฅฐ
Enheee๐
Yoooo๐ฅฐWe mimi napenda kubembelezwa na kudekezwa.
Aiombe kwa kukuchombeza au kwa vitendo๐Napenda kuombwa vizuri mimi ๐.
Na hapo ukitaka na yeye anataka ๐ฅ๐ฅHalafu ndo nakuwa nataka sasa
Inakuaga ya moto nyieee.Yoooo๐ฅฐ
Aiombe kwa kukuchombeza au kwa vitendo๐
Na hapo ukitaka na yeye anataka ๐ฅ๐ฅ
nimefika haya sogezeni hiko chakula tukidinye ๐Ndio tunapakua pakua tuli subiri ufike lolo๐
Ivi kumbe we pia ni last born wa JfUnataka au hutaki? ๐ซฃ
Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? ๐
Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie
Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)
Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu๐
Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana๐
Basi bhana, sijui hata ilikuaje
Kulikua na moment fulani hivi๐
Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha
Nikasema, Weee... inanukia balaa
Basi bhana... Bluetooth connected ๐
Bonge la moment, issue ikawa deep
Basi bhana, si nikashtuka
La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...
Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?
Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?
Thank you JF tutakuna next time ๐ซ
ShesRise_1 ๐ค
๐ ๐ ๐ ๐ bora uko mwenyewe aiseeUnajua umenihamisha ujue.
Niko kwenye band lakini ghafla nikajikuta kitandani ๐.
Halafu Niko mwenyewe na hii Baridi ๐
huyu ni long time kitambo ๐ ๐Kumbe mie nimekuita ujionee kumbe una mjua kitambo๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Enhee uliwahi kujifanya sitaki ๐kumbe wataka shogile ilikuaje ๐คชnimefika haya sogezeni hiko chakula tukidinye ๐
My name bro
Mali safi hii ๐ ๐ ๐ .
Habari yako BroMy name bro
yule nyau nilijifanya kumkazia na yeye akasusa๐ญ๐ญ alikua last born ikabidi mimi ndo nianze kubembeleza tena kwa kumgusa gusa na kalio๐ ๐ ๐ hapo ishafika asubuhi tayaliEnhee uliwakujifanya sitaki ๐kumbe wataka shogile ilikuaje ๐คช
Acha basiii๐คฃ๐คฃMali safi hii ๐ ๐ ๐ .
Si ndiwooooo๐Halafu naitoaga kwa nadra.
Uioshe na maji motro umekua mzazi ebooooNaiosha na maji ya baridiii.
Mi napendraa ๐ฅ๐ฅSo ni ya motoooo๐๐ ๐ ๐ .
Next time ukienda kulewa nishtue maa ๐ฅฐSema nini ni akili za pombe hizi