Unapokuwa na hasira/huzuni

The Dude

JF-Expert Member
Sep 14, 2011
1,029
453
Wasalaam nyote.
Natumaini kama binadamu sote tunakuwa na hasira ama huzuni mara kadhaa.
Swala ni je,tunakabiliana nazo vipi?Ningependa kujua kutoka kwa wataalam wa saikolojia,afya ya akili na wengne nyote kama binadamu.

Naamini mawazo yenu yanaweza kuwa tiba na kuokoa roho ya mtu leo hata kesho kama sio mimi basi mwingine yeyote.

Assume situation ambapo umekasirishwa mpk unataka kupasuka,au una huzuni mpaka haielezeki..and it happens to be just a tip of the ice berg,more is yet to come. Yani dizaini halijaisha hilo,jingine hili,na jingine na jingine...the world( only yours,apparently) is crumbling down...the pieces are too scattered to gather..

what do you do?
Kiroho safi yani.
 
Wasalaam nyote.
Natumaini kama binadamu sote tunakuwa na hasira ama huzuni mara kadhaa.
Swala ni je,tunakabiliana nazo vipi?Ningependa kujua kutoka kwa wataalam wa saikolojia,afya ya akili na wengne nyote kama binadamu.

Naamini mawazo yenu yanaweza kuwa tiba na kuokoa roho ya mtu leo hata kesho kama sio mimi basi mwingine yeyote.

Assume situation ambapo umekasirishwa mpk unataka kupasuka,au una huzuni mpaka haielezeki..and it happens to be just a tip of the ice berg,more is yet to come. Yani dizaini halijaisha hilo,jingine hili,na jingine na jingine...the world( only yours,apparently) is crumbling down...the pieces are too scattered to gather..

what do you do?
Kiroho safi yani.
Navyojua mimi kwa upande wa hasira,just walk out from where you are,go for a half a kilometer or so and back, inasaidia kushusha hasira,kingine unatakiwa unywe maji mengi unapohisi umekasirishwa and lastly kwa wale wakubwa ambao mmeoa au kuolewa unamwambia mwenzio hata kama ndiye alie kuudhi 'njoo tufanye kidogo' utakubaliana na mimi baada ya hapo hasira zitakuwa zimekwisha.
 
sijui my dear mi mwenzio nina huzuni kiasi cha kufa
 
Wasalaam nyote.
Natumaini kama binadamu sote tunakuwa na hasira ama huzuni mara kadhaa.
Swala ni je,tunakabiliana nazo vipi?Ningependa kujua kutoka kwa wataalam wa saikolojia,afya ya akili na wengne nyote kama binadamu.

Naamini mawazo yenu yanaweza kuwa tiba na kuokoa roho ya mtu leo hata kesho kama sio mimi basi mwingine yeyote.

Assume situation ambapo umekasirishwa mpk unataka kupasuka,au una huzuni mpaka haielezeki..and it happens to be just a tip of the ice berg,more is yet to come. Yani dizaini halijaisha hilo,jingine hili,na jingine na jingine...the world( only yours,apparently) is crumbling down...the pieces are too scattered to gather..

what do you do?
Kiroho safi yani.

Mie uwa nakaa mahala palipotulia nikiwa peke yangu na fanta pembeni, baada ya muda tu nacalm down ila sitotaka kumuona aliyenikera kwa siku kadhaa ili nisahau.
 
Wasalaam nyote.
Natumaini kama binadamu sote tunakuwa na hasira ama huzuni mara kadhaa.
Swala ni je,tunakabiliana nazo vipi?Ningependa kujua kutoka kwa wataalam wa saikolojia,afya ya akili na wengne nyote kama binadamu.

Naamini mawazo yenu yanaweza kuwa tiba na kuokoa roho ya mtu leo hata kesho kama sio mimi basi mwingine yeyote.

Assume situation ambapo umekasirishwa mpk unataka kupasuka,au una huzuni mpaka haielezeki..and it happens to be just a tip of the ice berg,more is yet to come. Yani dizaini halijaisha hilo,jingine hili,na jingine na jingine...the world( only yours,apparently) is crumbling down...the pieces are too scattered to gather..

what do you do?
Kiroho safi yani.
Wengi wa Watu wenye Hasira Au huzuni wanakuwa na Maradhi ya (blood pressure) inafaa

uende hospitali kupima kama unayo haya maradhi ya
blood pressure.

(1) Dawa ya mtu Mwenye kukasirika ufanye hivi
(Ukiwa

u
mesimama basi ukae. Hasira ikiondoka sawa na lau kama Hasira itabaki basi ulale kwa ubavu mmoja)


(2) Kuthibiti hasira

Hasira ni nini?
Ni hisia ambazo huanza polepole na kupanda kiasi cha mtu kushindwa kujizuia na kubadilika mpigo wako wa moyo kicho chochote kuwameza kusababisha hasira kuanzia kwa kusubiri kwenye mlolongo wa msongamano wa magari hadi kwa kutoelewa na kubaya.

Ni nini baadhi ya dalili?


  • Kushambulia watu wa maneno makali
  • Kuropokwa kwa sauti
  • Kupigana
  • Kuharibu vitu

Unazuiaje na kutibu hali hii?


  • Pumua hewa nje na ndani kwa kina.
  • Jaribu kulete mzaha katika hilo jambo
  • Fikiria kuhusu mahali ambapo patakufanya utulie na upumzike
  • Zungumzia na mtu ambaye amekukasirisha kuliko kukaripia
  • Kaa mbali na hali ambapo unajua zitakufanya ukasirike
  • Pata nasaha


Majonzi na huzuni

Majonzi na huzuni ni nini?

Ni ugonjwa unaohusisha mwili, kupanda na kishuka kwa hisia za hasira na mawazo. Ni hali ambayo huwezi kuiondosha mbali kwani unashindwa kujizuia na hizi hisia.


Hakuna sababu moja kunayosababisha majonzi na huzuni mwingi. Hali hii hurithishwa katika historia ya familia. Hata wale ambao hii hali haijawahi kuonekana katika familia zao hujikuta nayo, taabu na dhiki za kupambana na maisha, mpenzi ama ugonjwa mkali. Watu wengine, hata madaktari, hudhani kuwa ni hali inayokumba tu watu wazee pekee la hasha.

Dalili

  • Kuhuzunika kila mara na kujiona bure
  • Kukosa shughuli na tama katika vitendo ulivyokuwa umenipenda hapo awali
  • Kuhisi kuchukizwa hata kwa jambo dogo
  • Kulia sana
  • Kuona hufai na kujihukumu huku ukijihurumia
  • Kulala sana ama hata kutolala kabisa
  • Kula sana au hata kuishindwa kabisa kula.
  • Kupata shida katika kufanya maamuzi au kufuatilia jambo
  • Kuwa na fikira za kutaka kujitia kitanzi au kufa.
  • Kulewa na kutumia dawa za kulevya.
Unaijuaje?
Ukihisi mojawapo ya dalili hizi kwa zaidi ya majuma mawili, ni muhimu upate usaidizi na kitaalamu. Huzuni ba majonzi huweza kutokea iwapo mtu ana shida ya kiafya, hasa kuna ugonjwa wa Sukari mwilini, ugonjwa wa moyo, kupata kipigo. Matibabu yanaweza kusababisha huzuni na majonzi pia. Ugonjwa wa kiakili na matumizi ya mihadarati, kupata nasaha bora na matibabu husaidia.

Unatibuje?
Iwapo kemikali katika ubongo wako hazitoshani unaweza kupata majonzi na huzuni kwa watu wengine, matibabu husaidia kwa wengine, nasaha bora huwasaidia. Kupata matibabu pamoja na nasaha bora huweza kutibu. Iwapo dawa au nasaha haisaidii endelea kujaribu hadi pale ambapo utapata tiba kamili. Watu tu baada ya majuma machache.


DUA YA MAJONZI NA HUZUNI SEMA HIVI MARA 3 KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI MAJONZI NA HUZUNI
YATAONDOKA.


"Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na hamu na huzuni na kutoweza uvivu na ubakhili na uoga na uzito wa deni na kushindwa na watu"


 
Wengi wa Watu wenye Hasira Au huzuni wanakuwa na Maradhi ya (blood pressure) inafaa

uende hospitali kupima kama unayo haya maradhi ya
blood pressure.

(1) Dawa ya mtu Mwenye kukasirika ufanye hivi
(Ukiwa

u
mesimama basi ukae. Hasira ikiondoka sawa na lau kama Hasira itabaki basi ulale kwa ubavu mmoja)


(2) Kuthibiti hasira

Hasira ni nini?
Ni hisia ambazo huanza polepole na kupanda kiasi cha mtu kushindwa kujizuia na kubadilika mpigo wako wa moyo kicho chochote kuwameza kusababisha hasira kuanzia kwa kusubiri kwenye mlolongo wa msongamano wa magari hadi kwa kutoelewa na kubaya.

Ni nini baadhi ya dalili?


  • Kushambulia watu wa maneno makali
  • Kuropokwa kwa sauti
  • Kupigana
  • Kuharibu vitu

Unazuiaje na kutibu hali hii?


  • Pumua hewa nje na ndani kwa kina.
  • Jaribu kulete mzaha katika hilo jambo
  • Fikiria kuhusu mahali ambapo patakufanya utulie na upumzike
  • Zungumzia na mtu ambaye amekukasirisha kuliko kukaripia
  • Kaa mbali na hali ambapo unajua zitakufanya ukasirike
  • Pata nasaha


Majonzi na huzuni

Majonzi na huzuni ni nini?

Ni ugonjwa unaohusisha mwili, kupanda na kishuka kwa hisia za hasira na mawazo. Ni hali ambayo huwezi kuiondosha mbali kwani unashindwa kujizuia na hizi hisia.


Hakuna sababu moja kunayosababisha majonzi na huzuni mwingi. Hali hii hurithishwa katika historia ya familia. Hata wale ambao hii hali haijawahi kuonekana katika familia zao hujikuta nayo, taabu na dhiki za kupambana na maisha, mpenzi ama ugonjwa mkali. Watu wengine, hata madaktari, hudhani kuwa ni hali inayokumba tu watu wazee pekee la hasha.

Dalili

  • Kuhuzunika kila mara na kujiona bure
  • Kukosa shughuli na tama katika vitendo ulivyokuwa umenipenda hapo awali
  • Kuhisi kuchukizwa hata kwa jambo dogo
  • Kulia sana
  • Kuona hufai na kujihukumu huku ukijihurumia
  • Kulala sana ama hata kutolala kabisa
  • Kula sana au hata kuishindwa kabisa kula.
  • Kupata shida katika kufanya maamuzi au kufuatilia jambo
  • Kuwa na fikira za kutaka kujitia kitanzi au kufa.
  • Kulewa na kutumia dawa za kulevya.
Unaijuaje?
Ukihisi mojawapo ya dalili hizi kwa zaidi ya majuma mawili, ni muhimu upate usaidizi na kitaalamu. Huzuni ba majonzi huweza kutokea iwapo mtu ana shida ya kiafya, hasa kuna ugonjwa wa Sukari mwilini, ugonjwa wa moyo, kupata kipigo. Matibabu yanaweza kusababisha huzuni na majonzi pia. Ugonjwa wa kiakili na matumizi ya mihadarati, kupata nasaha bora na matibabu husaidia.

Unatibuje?
Iwapo kemikali katika ubongo wako hazitoshani unaweza kupata majonzi na huzuni kwa watu wengine, matibabu husaidia kwa wengine, nasaha bora huwasaidia. Kupata matibabu pamoja na nasaha bora huweza kutibu. Iwapo dawa au nasaha haisaidii endelea kujaribu hadi pale ambapo utapata tiba kamili. Watu tu baada ya majuma machache.


DUA YA MAJONZI NA HUZUNI SEMA HIVI MARA 3 KILA SIKU ASUBUHI NA JIONI MAJONZI NA HUZUNI
YATAONDOKA.


“Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na hamu na huzuni na kutoweza uvivu na ubakhili na uoga na uzito wa deni na kushindwa na watu”



kweli.
 
Navyojua mimi kwa upande wa hasira,just walk out from where you are,go for a half a kilometer or so and back, inasaidia kushusha hasira,kingine unatakiwa unywe maji mengi unapohisi umekasirishwa and lastly kwa wale wakubwa ambao mmeoa au kuolewa unamwambia mwenzio hata kama ndiye alie kuudhi 'njoo tufanye kidogo' utakubaliana na mimi baada ya hapo hasira zitakuwa zimekwisha.

'kufanya kdogo'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom