Unapogundua jina la mtoto wako

Suluhisho ni kutoa majina ya babu na bibi wa watoto, au majina ya shangazi na wajomba na sio majina yasiyokuwepo katika koo zetu!
 
Haya yote yanatokana na sie wazazi wa siku hizi kujitia tunakwenda na wakati...wazee wetu walikuwa wanajua majina na maana ya majina ya watoto wao kwa kuwa they used to name them after their relatives and elders. Sasa siku hizi na hizi imani za flani ana tabia mbaya so mtoto akirithi jina lake atakuwa kama yeye, sijui ni jina korofi n.k. ndo hapo kila mtu anatoa jina alipendalo, nasi tunakubali pasipojiuliza linakotokea (na siku hizi kuna vitabu na sites za majina) Mwe!!

Yaani acha tu
Mi najiuliza, kwanini tusiwape watoto majina yenye uelekeo wa imani zetu.
Maana kumpa mtu jina la x wako kunaanza kuleta imani kwamba bado unam-feel kimapenzi (mfano tu)
Na inaleta picha pia bado uko nae kimapenzi
 
Ukiona mumeo au mkeo anatoa jina la x kwa mtoto wenu jua wewe ni kama maji kutuliza kiu ya soda. Kwa ufupi ni kuwa umuoa/kakuo basi tu kwa kuwa mwenye hilo jina amemtolea nje. Kha! Hilo kosa kwa kweli ni ngumu sana kupata msamaha. Giving "our childe" your lovers name??? Wazazi kama hao ndio wanaobaka watoto wa kuwazaa. Mapenzi ya ex yanaamia kwa mtoto

Kweli kabisa, kuna uwezekano mkubwa kwa hili kutokea.
Umemuita mwanao jina Suzana, then mtoto akakua na kuumbika kisawasawa kama Suzana mwenyewe . . . . unaanza kumjengea mawazo ya kishetani. Sasa ngoja na mtoto nae aje agundue jina lake ni jina la x wa mzazi wake, sijui mtoto atajisikiaje!!
Mweeee!!!

Sina ushahidi wa haya nisemayo jamani, ila naona kuna uwezekano wa kutokea mbeleni
 
Sikujua, Siyawezi, Majuto, Fikiri, Sikudhani, Pilli,Tatu............ do you mean these names?

Hapana, sidhani kama alimaanisha majina ambayo yana maana fulani yenyewe kama yenyewe pasipo kuangalia tabia ya mtu mwenyewe.
Unaweza ukaitwa hata jina la kiongozi wa dini au mtu mwingine yoyote safi kimatendo lakin bado ukarithi tabisa mbaya ya mzazi (kama mzazi alikuwa nayo)
 
Haya mambo yapo lakini. Kuna jamaa alisoma na hubby mwanae ana jina la binti nilyesoma nae mimi. Hubby aliwahi nambia kuwa jamaa alikuwa anamzimikia vibaya sana huyo binti ila sidhani kama aliwahi kumchukua. Hiyo stori alinambia wakati tuko wote college. Mume wangu hajuhi jina la mtoto wa huyo jamaa kwani they were not that much close na urafiki si wa kiivyo hasa baada ya kumaliza shule. Mimi najua kuwa mtoto wao ana jina la yule binti kwani nawafahamu wote huyo wife na binti mwenye jina. What I think ni kuwa mke hajuhi kuwa mumewe alikuwa amemzimikia mdada mwenye jina la binti yao. Siwezi kuthubutu kusema na najua mkewe hatakaa ajue.

Aiseeeee
Naona hili ni kama bomu la Jairo ambalo linasubili mlipuaji . . . .
 
Badili hilo jina bwana sababu utamchukia mtoto wako wa damu sababu ya ujinga wa mama ake, kuna dada mmoja ameolewa ni mdogo wa rafiki yangu kajifungua mtoto kampa jina la mtoto wa x wake embu ona, kuna wasichana mafyatu sana,mume alipogundu dna ilifanyika na jina kubadilishwa kabisa sasa kwa vile alimkubalia mkewe kwa upendo tu ambatize kanisani kwake ameenda kafuta jina,anambatiza kanisani kwake ambako wanazamishwa majini..........mie huwa nachagua majina ya wanangu mwenyewe wala hana mchecheto huwa yeye anaweka lile la kiruga basi
 
badili hilo jina bwana sababu utamchukia mtoto wako wa damu sababu ya ujinga wa mama ake, kuna dada mmoja ameolewa ni mdogo wa rafiki yangu kajifungua mtoto kampa jina la mtoto wa x wake embu ona, kuna wasichana mafyatu sana,mume alipogundu dna ilifanyika na jina kubadilishwa kabisa sasa kwa vile alimkubalia mkewe kwa upendo tu ambatize kanisani kwake ameenda kafuta jina,anambatiza kanisani kwake ambako wanazamishwa majini..........mie huwa nachagua majina ya wanangu mwenyewe wala hana mchecheto huwa yeye

anaweka lile la kiruga basi

sio fyatu,kuna kitu hyu ex alichomkoleza mpaka basi
na huyo ex akija kuomba kukumbushia,kama kawa....trust me
 
Hiyo ni kweli kabisa huyo mume si chaguo lake ila ni kama mwenye kiu ya soda na ela hana anaamua kunywa maji kwa vile hamna jinsi. Yani umzimikie ex mpaka na jina umpe naona ni sawa na kucheat tu inawezekana hata wakati wa mechi unavuta taswira ya ex.


sio fyatu,kuna kitu hyu ex alichomkoleza mpaka basi
na huyo ex akija kuomba kukumbushia,kama kawa....trust me
 
hiyo ni kweli kabisa huyo mume si chaguo lake ila ni kama mwenye kiu ya soda na ela hana anaamua kunywa maji kwa vile hamna jinsi. Yani umzimikie ex mpaka na jina umpe naona ni sawa na kucheat tu inawezekana hata wakati wa mechi unavuta taswira ya ex.

umeona ehh?
Halafu eti unafuta jina tu,na unaendelea
wakati hapo ni habari tosha kuwa mtu hayuko moyoni,unalazimisha...
 
Ukiona mumeo au mkeo anatoa jina la x kwa mtoto wenu jua wewe ni kama maji kutuliza kiu ya soda. Kwa ufupi ni kuwa umuoa/kakuo basi tu kwa kuwa mwenye hilo jina amemtolea nje. Kha! Hilo kosa kwa kweli ni ngumu sana kupata msamaha. Giving "our childe" your lovers name??? Wazazi kama hao ndio wanaobaka watoto wa kuwazaa. Mapenzi ya ex yanaamia kwa mtoto

Du how can one come up with such..................... is beyond me!!??? Anyways,what you have said, has no truth to it or whatsover.

CPU
Personally ,I am named after my father's university ex girlfriend. My mother knows this, I know it , infact my whole family is aware of this, and we do joke about it sometimes. Wazazi wangu met at uni so I reckon it was no biggy to ma, otherwise...............................................By the way, contrary to the quoted comment my father hajawahi kutaka kunibaka!?
 
Ameshakwambia sababu za kukupa jina la ex wake? Au kama hajawahi unadhani kwa nini amefanya hvyo?? Kama shukurani?? Ili asimsahau?? Mimi siwezi kukubali hicho kitu aisee.


Du how can one come up with such..................... is beyond me!!??? Anyways,what you have said, has no truth to it or whatsover.

CPU
Personally ,I am named after my father's university ex girlfriend. My mother knows this, I know it , infact my whole family is aware of this, and we do joke about it sometimes. Wazazi wangu met at uni so I reckon it was no biggy to ma, otherwise...............................................By the way, contrary to the quoted comment my father hajawahi kutaka kunibaka!?
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Daaah<br />
Gagu, why umuache mwezi wako kwa sababu ya jina?<br />
Kwani itakufanya ujisikiaje?
<br />
<br />
Mkuu hebu tuwe sawa ktk hili, nadhan mpaka hoja inaletwa moja kwa moja kuna walakini ndani yake. Mimi ningemuacha/nitamuacha coz akili yake huyu haipo kwangu, moyo wake upo kwa X wake..
 
Habari wana JF
Nimekuwa nikijiuliza kwa namna fulani suala la uchaguzi wa jina la mtoto.
Mfano, mmezaa mtoto na mpenzi wako.
Wakati wa kupendekeza jina kwa mtoto, mpenzi wako akawa anasisitiza sana apewe jina fulani. Ukakubaliana nae.
Baada ya muda fulani, ukaja gundua kwamba hilo la mwanao ni jina la X-lover wa mpenzi wako
Utajisikiaje, au utafanyaje??



Roho itaniuma namna gani?? Dah!
 
Badili hilo jina bwana sababu utamchukia mtoto wako wa damu sababu ya ujinga wa mama ake, kuna dada mmoja ameolewa ni mdogo wa rafiki yangu kajifungua mtoto kampa jina la mtoto wa x wake embu ona, kuna wasichana mafyatu sana,mume alipogundu dna ilifanyika na jina kubadilishwa kabisa sasa kwa vile alimkubalia mkewe kwa upendo tu ambatize kanisani kwake ameenda kafuta jina,anambatiza kanisani kwake ambako wanazamishwa majini..........mie huwa nachagua majina ya wanangu mwenyewe wala hana mchecheto huwa yeye anaweka lile la kiruga basi

Gaga
Acha kabisa mkuu wangu
Watu wanaoana siku hizi basi tu ili wavae pete za dhahabu na almasi
Lakin mapenzi yapo kwa x wake, maana kafanyiwa mambo ambayo hataweza kusahau kamwe
 
Hiyo ni kweli kabisa huyo mume si chaguo lake ila ni kama mwenye kiu ya soda na ela hana anaamua kunywa maji kwa vile hamna jinsi. Yani umzimikie ex mpaka na jina umpe naona ni sawa na kucheat tu inawezekana hata wakati wa mechi unavuta taswira ya ex.

Ila akijichanganya kidogo tu akalitaja hadi jina la ex wake wakati anaanza kukolezwa sijui itakuwaje . . . .
 
Back
Top Bottom