CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
- Thread starter
- #41
<br />
<br />
Mkuu hebu tuwe sawa ktk hili, nadhan mpaka hoja inaletwa moja kwa moja kuna walakini ndani yake. Mimi ningemuacha/nitamuacha coz akili yake huyu haipo kwangu, moyo wake upo kwa X wake..
Lakin . . . . ni kweli, ila naona kama unaweza angalau ukambadilisha hata jina mtoto ili maisha yaendelee kama kawa