min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,820
- 165,576
Sikujua binti mdogoSiku zote hizo hufahamu kumbe
Kuna uzi wangu Title: Je Mungu hana upendeleo ukifungua utakuta kuna sehemu watu walipo ni quote utakuta ile USER name ya Hata najua basi
Sikujua binti mdogoSiku zote hizo hufahamu kumbe
Kuna uzi wangu Title: Je Mungu hana upendeleo ukifungua utakuta kuna sehemu watu walipo ni quote utakuta ile USER name ya Hata najua basi
😅😅😅 niliona mbona maana utakuta uzi ume like comment zote kasoro zangu ni kapotezeaNilishtuka sana kwa hisia kali nikahisi huyu ni binti yangu , nahisi hii I'd yako niliiweka ignore kimakosa🤔
Hakuna tabu baba 🥰Sikujua binti mdogo
Mhmm kweli nilifungua ignore nikaikuta hii I'd nika ifuatilia ,sijui kwa nini nilifanya hivyoHakuna tabu baba 🥰
You never know labda kuna siku nili comment kitu hukupendaMhmm kweli nilifungua ignore nikaikuta hii I'd nika ifuatilia ,sijui kwa nini nilifanya hivyo
Hapana , sijawahi block wanawake, mambo ya ulevi tuYou never know labda kuna siku nili comment kitu hukupenda
Ohoo basi ulilewa 😅Hapana , sijawahi block wanawake, mambo ya ulevi tu
Il lile jina zuri lirudisheOhoo basi ulilewa 😅
Acha basi 😅Il lile jina zuri lirudishe
watoto ndo kila kitu kwenye maisha. i wouldnt imagine my life without them.Unavutiwa kua na mtoto /watoto?
Watoto wako wamebadili nini kwenye maisha yako?
Wameongeza nini kwenye maisha yako?
Mara nyingi mtoto akiwa mchanga huvutia sana
Namna alivyo na sura yake ya upole anaporusha miguu na mikono huku akikutazama huwa ni jambo la kupendeza sana kuangalia🤗
Mtoto akifika hatua ya kukaa chini, kucheka na kuonyesha yale mapengo yake madogo ya meno, huwa anavutia mno
Watoto wa umri huo wana namna ya kugusa moyo, especially anapokushika shavu na kutabasamu☺️
Na anapoanza kujifunza kutembea, vile anavyotembea, kuanguka kisha kuinuka tena, huwa ni raha kubwa sana kumuona
Kuna happiness ya kipekee ndani yake
Pia kuna feeling nzuri sana pale mtoto anapoanza kuita mama baba dada au jina lako
Kusikia mtoto anakutambua na kujua wewe ni nani kwake, huwa kunagusa moyo sana
Mimi binafsi hupenda sana kumbeba mtoto, kumkumbatia na kumbusu
Hali hiyo hunipa amani, utulivu na furaha ya ndani yaan nahisi msisimko ajabu
Mara nyingi nikimuona mtoto mdogo akiimba au akifanya kitu kizuri, huwa najikuta nikipata furaha mpaka machozi kunilenga
Kwa kifupi, napenda watoto sana
Huwa nawaona kama malaika wenye kuleta upendo, amani na utulivu
Dear children🥰 nyie ni kama maua yanavyochanua ndani ya bustani, like the sun rising and setting with its own beautiful light
Tabasamu lenu wakati mwingine huponya nafsi zilizochoka na kuleta peace ndani ya mioyo ya watu
I truly love children😍
Mna nafasi kubwa sana ndani ya moyo wangu 🤍
Wewe unapenda watoto?
Unatamani kupata watoto wengi?
Au huvutiwi kabisa na watoto?
😍watoto ndo kila kitu kwenye maisha. i wouldnt imagine my life without them.
Nimeshangaa kusikia kuwa niliyekuwa najibizana naye anahati miliki ya makende.Unashangaa nini😂
Kuwa makini tu🤣Nimeshangaa kusikia kuwa niliyekuwa najibizana naye anahati miliki ya makende.
Lazima nicheze kwa step.Kuwa makini tu🤣
NiceNaaam
Enjoy ☺️Nina katoto cha kike cha mwaka 1 basi tukiwa tunacheza anakuja akianza kunishika kichwa basi ujue atanipiga makofi aisee yanauma hayo basi nikiwa nimelala akija kunishika kichwa aisee lazima nishtuke maana najua ataanza Michezo ya makofi na anapenda