19 records studio
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 421
- 1,085
Kibamia.
[emoji2] [emoji1] [emoji1]
[emoji2] [emoji1] [emoji1]
Asante mpendwa ninae tayari Mungu alieniandalia ndo tupo kwenye process za ndoa Mungu akijaalia yani raha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukusa kono??? Kumfindi ndikusele beeee pamafinga kinyanambo c kukayeeee.hahaha! nyelaa !uko u kwa whewhe be! alakin ke ndizaliwe ku mufindi be,, ndi kisele ikihehe kuliko kisukuma be! ndisa pa sept be!hehhehe! ndiheka luhulo!
Haya karibuuuhahaha! nyelaa !uko u kwa whewhe be! alakin ke ndizaliwe ku mufindi be,, ndi kisele ikihehe kuliko kisukuma be! ndisa pa sept be!hehhehe! ndiheka luhulo!
Ukusa kono??? Kumfindi ndikusele beeee pamafinga kinyanambo c kukayeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukusa kono Kumwanza?hahahaha nzusa be pa sept... eya be kuko be!hahahahah nyelee!
Tupo wengi unaongea peke yako wee unaishia kunyamaza kama gari lililoishiwa petrol wakati mwingine inaudhi ila mwanaume chiriku naye no hawachelewi kuongea siri za nyumbaniMie wangu mpole mpaka naboreka,naongea kama chiriku naambulia ooh,kumbe au Sawa,kakujibu kirefu subiri kwanza. Ok,na kucheka Ndiko anakoweza yeye.
Tupo wengi unaongea peke yako wee unaishia kunyamaza kama gari lililoishiwa petrol wakati mwingine inaudhi ila mwanaume chiriku naye no hawachelewi kuongea siri za nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako kibamiaaa niniii [emoji13] [emoji14] [emoji14] [emoji15] [emoji15]Kibamia.
[emoji2] [emoji1] [emoji1]
Mimi nataka wale luku wa kienyeji wale walionona naimani ushanipata
Jamani heee ndiyo nini hivyo kisw tafadhalihahahah ulikwiya nano! hahahah! wina luhulo veve mwagito be
Wababe ndiyo wamejaa teleMie napenda mwanaume smart yaani awe na sura nzuri maji ya kunde na sio mweusi anaenukia mwenye kifua kilichotanuka kdg awe sio mrefu sana yaani si mrefu si mfupi anaejua kudekeza sio mwanaume kutwa ubabe hujui hata kumuhandle mtoto wa kike yeye kutwa anajibebisha na mtafutaji sihitaji mwanaume tajiri kwenye maisha yangu pesa tutatafuta wote[emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app