Unapenda mwanamke au mwanaume wa aina gani?

Unapenda mwanamke au mwanaume wa aina gani?

Mie napenda mwanaume smart yaani awe na sura nzuri maji ya kunde na sio mweusi anaenukia mwenye kifua kilichotanuka kdg awe sio mrefu sana yaani si mrefu si mfupi anaejua kudekeza sio mwanaume kutwa ubabe hujui hata kumuhandle mtoto wa kike yeye kutwa anajibebisha na mtafutaji sihitaji mwanaume tajiri kwenye maisha yangu pesa tutatafuta wote[emoji39][emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie napenda mwanaume smart yaani awe na sura nzuri maji ya kunde na sio mweusi anaenukia mwenye kifua kilichotanuka kdg awe sio mrefu sana yaani si mrefu si mfupi anaejua kudekeza sio mwanaume kutwa ubabe hujui hata kumuhandle mtoto wa kike yeye kutwa anajibebisha na mtafutaji sihitaji mwanaume tajiri kwenye maisha yangu pesa tutatafuta wote[emoji39][emoji39][emoji39]

Sent using Jamii Forums mobile app


yalah! Mungu akupe hitaj lako mwaya!
 
Back
Top Bottom