Unapenda mwanamke au mwanaume wa aina gani?

Unapenda mwanamke au mwanaume wa aina gani?

lazima ukae

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
791
Reaction score
417
KIla binadamu ana vigezo vyake linapokuja suala la kuchagua mwenza wa maisha. Wapo wanaume wanaopenda wanawake wenye makalio makubwa au maziwa makubwa na wapo wanaopenda wasichana wembamba n.k.

Binafsi siko intererested na wanawake wembamba (model), napendelea mwanamke mwenye mwili wa wastani ili kama kunenepa aje anenepee kwangu, ukiwa tukunyema kwangu huna nafasi. Suala la kuwa na chura ni moja kati ya vigezo vyangu ninavyotumia pindi ninapotafuta mwenza.

Hali kadhalika wanawake nao huwa wana vigezo vyao pindi wanapohitaji kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi. Wapo wanaopenda wanaume walefu, wapo ambao kipaumbele chao ni pesa, wapo wanaopenda wanaume wafupi ingawa ni asilimia chache sana n.k.

Funguka, wewe unapenda mpenzi wako awe na muonekano gani?
 
Mmmh, ngoja niondoke hapa maana mibado mtoto.

SIJUI KESHO.
 
Sipendi mwanamke mjuaji, mwanamke awe na kasura ka upole na kaaibu kwa mbali
Mwanamke mwenye sura ya tabasamu waga ndo nawapenda sana

Kwa upande wa mwili
awe amejaa miguu (pia mama yng yuko hvyo)
Tako liwepo lililo round, maana kuna wanawake wanatako kubwa lkn limekaa ovyoovyo2

Kwenye mawasiliano
Awe ni mtu wa kushangaa na kufrahia akiona ki2 cha ajab, sio anakuwa mkavu kama sanam

Sura kwangu sio kigezo kikubwa sana
But naamini mschana akiwa na hvyo vyote lazima atakuwa na sura iliojaa


Kifupi ni kuwa ukiwa na alieko hvyo utatulia
Nimetulia sahv[emoji4]

IQ standard
 
Sipendi mwanamke mjuaji, mwanamke awe na kasura ka upole na kaaibu kwa mbali
Mwanamke mwenye sura ya tabasamu waga ndo nawapenda sana

Kwa upande wa mwili
awe amejaa miguu (pia mama yng yuko hvyo)
Tako liwepo lililo round, maana kuna wanawake wanatako kubwa lkn limekaa ovyoovyo2

Kwenye mawasiliano
Awe ni mtu wa kushangaa na kufrahia akiona ki2 cha ajab, sio anakuwa mkavu kama sanam

Sura kwangu sio kigezo kikubwa sana
But naamini mschana akiwa na hvyo vyote lazima atakuwa na sura iliojaa


Kifupi ni kuwa ukiwa na alieko hvyo utatulia
Nimetulia sahv[emoji4]

IQ standard



nimecheka sana
 
KIla binadamu ana vigezo vyake linapokuja suala la kuchagua mwenza wa maisha. Wapo wanaume wanaopenda wanawake wenye makalio makubwa au maziwa makubwa na wapo wanaopenda wasichana wembamba n.k.

Binafsi siko intererested na wanawake wembamba (model), napendelea mwanamke mwenye mwili wa wastani ili kama kunenepa aje anenepee kwangu, ukiwa tukunyema kwangu huna nafasi. Suala la kuwa na chura ni moja kati ya vigezo vyangu ninavyotumia pindi ninapotafuta mwenza.

Hali kadhalika wanawake nao huwa wana vigezo vyao pindi wanapohitaji kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi. Wapo wanaopenda wanaume walefu, wapo ambao kipaumbele chao ni pesa, wapo wanaopenda wanaume wafupi ingawa ni asilimia chache sana n.k.

Funguka, wewe unapenda mpenzi wako awe na muonekano gani?
Swali hili walio oa watakujibu inbox huku kwingine utawapata mabachela...
 
Back
Top Bottom