MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,085
hehehe kihehe hicho shogaa! napenda kuktana na mhehe niongee naye huwa narudisha feelings mbali kweli kweli!...then nakuwa emotional sijui why
[emoji28] [emoji28] ndugu acha unazimika yy kama hayupohahahaha Ulweso
Mwee leka vivyo mhalahehehe kihehe hicho shogaa! napenda kuktana na mhehe niongee naye huwa narudisha feelings mbali kweli kweli!...then nakuwa emotional sijui why
Maudhui hayatafaa niwie radhi kwa hilo plzpicha pls wa kuku wa kienyej
Hata niandike vipi,umemaliza.Kigezo kikubwa ni uwezo wake wa akili,zingine kwangu ni bwebwe tu utachagua sura ukutane na tahira na watoto wako wakaja kuwa matahira
Napenda mwanamke mwenye macho ambayo akiniangalia tu naddsha si mwanamke mwenye macho kama mamba.
Ha ha ha ha ha ha ha. Mwanaume anakuwa na mdomo kama chiriku vile. Mdomo wazi ha ha ha haTupo wengi unaongea peke yako wee unaishia kunyamaza kama gari lililoishiwa petrol wakati mwingine inaudhi ila mwanaume chiriku naye no hawachelewi kuongea siri za nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe unajua maana ya hilo jina yako????mkuu nakula jaman! hahahahaa nimekabwa hapaa hahhahhaahhahahaaahhahahhhhaahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaahahahahhahhahah!!![HASHTAG]#mbiti[/HASHTAG] mie jaman nachekadah! maana mamba ana macho mabayaa!hhahahaahah we nimekushindwa tabia aisee
wewe unajua maana ya hilo jina yako????
kwani kabila gani wewe?sijui! lina maanisha nn mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] madesa hayo nimeona kichwa cha zunguka nami nikaweka yanguahhaha lugha gan hii na ww lol
Kuna wanaume wanaongea mpaka anaongea vya hovyoHa ha ha ha ha ha ha. Mwanaume anakuwa na mdomo kama chiriku vile. Mdomo wazi ha ha ha ha
Jamani macho ya mamba tena mmmm[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Napenda mwanamke mwenye macho ambayo akiniangalia tu naddsha si mwanamke mwenye macho kama mamba.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] madesa hayo nimeona kichwa cha zunguka nami nikaweka yangu
Sent using Jamii Forums mobile app