Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Mo mp5 once again, Hope wazima familia ya JF.
Binafsi simu yangu napenda kuweka vibration,sababu sipendi kelele na ni mvivu Sana kupokeaga simu.
Kuna Ringtone zingine ziko vizuri Kama za iPhone,nokia,samsung.ila Kama unatumia Tecno,infinix,itel, vivo nk ringtone zao zinakuwa ni mbaya Yani Kama vyombo vinaanguka mnakera Sana.
Unakuta mtu kaweka ringtone mbaya sauti juu simu ikiita ni makelele tu mpaka nyumba ya tatu wanasikia.
Kuweka ringtones sauti ya juu ni ushamba.
Binafsi simu yangu napenda kuweka vibration,sababu sipendi kelele na ni mvivu Sana kupokeaga simu.
Kuna Ringtone zingine ziko vizuri Kama za iPhone,nokia,samsung.ila Kama unatumia Tecno,infinix,itel, vivo nk ringtone zao zinakuwa ni mbaya Yani Kama vyombo vinaanguka mnakera Sana.
Unakuta mtu kaweka ringtone mbaya sauti juu simu ikiita ni makelele tu mpaka nyumba ya tatu wanasikia.
Kuweka ringtones sauti ya juu ni ushamba.