Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna advocate mmoja kwa jina la Multaza Lakha kwa wale waliokuwa wakifuatilia ile kesi ya uhaini miaka ya 80. Huyu bwana kwa kumbukumbu zangu ni miongoni mwa mawakili waliokuwa mahiri sana nyakati zile. Kwenye ile kesi ya uhaini iliyowahusisha akina Zacharia Hans Pope, Mr & Mrs Banyikwa, Capt. Eugene Maganga na wengine.
Multaza Lakha aliwahi kumhoji aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma wakati huo Mzee Ndejembi na mtoto wake kama mashahidi wa upande wa mashtaka. Mpaka leo bado nakumbuka jambo moja ambalo Lakha alimwambia mtoto wa Ndejembi alipokuwa akitoa ushahidi wake..... hapo ni baada ya Ndejembi kuchemsha katika kujibu maswali ya Lakha..
Nanukuuu " yaani wewe na baba yako mmetoka Dodoma kuja hapa kutoa ushahidi wa uongo??"... Ni kesi ya miaka mingi sana lakini nilikuwa nikiifatilia ingawa bado nilikuwa mwanafunzi. Kuna yeyote anayejua aliko huyu Murtaza Lakha???:A S 39::A S 39:
Multaza Lakha aliwahi kumhoji aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma wakati huo Mzee Ndejembi na mtoto wake kama mashahidi wa upande wa mashtaka. Mpaka leo bado nakumbuka jambo moja ambalo Lakha alimwambia mtoto wa Ndejembi alipokuwa akitoa ushahidi wake..... hapo ni baada ya Ndejembi kuchemsha katika kujibu maswali ya Lakha..
Nanukuuu " yaani wewe na baba yako mmetoka Dodoma kuja hapa kutoa ushahidi wa uongo??"... Ni kesi ya miaka mingi sana lakini nilikuwa nikiifatilia ingawa bado nilikuwa mwanafunzi. Kuna yeyote anayejua aliko huyu Murtaza Lakha???:A S 39::A S 39: