- Thread starter
- #81
Eeeeh mama huyu wa kwako alikuwa kiboko,yaani siku ya kwanza tu akakuambukiza na ujauzito..??
Si ajbu mkuu, na zile siku mbaya2 ndo muwasha2 unakuwa mkubwa.
Eeeeh mama huyu wa kwako alikuwa kiboko,yaani siku ya kwanza tu akakuambukiza na ujauzito..??
Mkulu hii kiboko, mi mtu mzima lakini nimecheka mpaka basi, Mkojo?jana mchana nilikutana na demu wa mia na hamsini na moja na usiku nilikua na wa hamsini
na mbili sasa nafanya mchakato wa kutafuta mtu wa kesho na ameshapatikana ila kituko cha
demu mmoja niliyekutana nae nikiwa form 5
aliniambia hajakojoa kwa hiyo nikawa nasubiri mara akanikojolea mkojo suruali ikaloa chapachapa ikabidi nile vichochoro kwani ilikua sehemu za nyumba ambalo halijaisha weweeeeeeeeeeeeeeeeee
chukua like hiyona bado
Nilikuwa form 2 mgeni kabisa kwenye masuala hayo kuna mdada wa form 4 alikuwa ananipenda sana,siku moja tukiwa likizo akaja kitaani nikampeleka geto kwa mshikaji basi kwa kuwa nilikuwa sijui lolote wacha nihangaike hata tobo nikawa silioni nikaishia kujipigia vigoli kwenye shuka tu.
mpenzi wangu wa kwanza alikua beki tatu...namkumbuka sana mpenzi wangu yule Angel.sijui yupo wapi siku izi
ha ha haaa.........Sitasahau,ni baada ya kumaliza kidato cha nne pale Azania miaka ishirini na mbili iliyopita mzee akaniambia sasa mwanangu umekua inabidi uende ukafanye biashara wakati unasubiri matokeo yako ya mtihani,na akanikabidhi kama milioni tatu za mtaji.Nikaelekea wilayani Mpanda ili kukusanya mbao na kusafirisha kupeleka Dar.Kufika huko nikafikia nyumbani kwa kaka yangu aliyekuwa na kabekitatu karembo kwelikweli,basi ile sijamaliza hata siku tatu nikashikwa na maleria kali kutokana na hali ya hewa nisiyoizoea,kaka yangu akamwambia binti kuwa hakikisha unamhudumia kaka yako mpaka apate nafuu,basi kaka yangu alikuwa anashangaa tu,mbona mgonjwa kadri siku zinavyoenda ndio hali yake inazidi kuwa mbaya au matibabu sio mazuri, kumbe muhudumiaji wangu alikuwa ameshagundua hazina na sasa hivi tunavyoongea uzao wa mchezo huo umeshatimiza miaka 21....
Siku hiyo ndo ulikata seal,ndo maana hukuipata stimu fresh.Mwana hapa patam c mchezo! mabeki 3 wametufundisha mengi! hata mm nilianzia kwa beki 3, ckumtongoza ila nilianza kumshka shka maziwa wakati anaosha vyombo kdogo siku ya kwanza namshka kaka angetukuta, ila kila nkimshka anachomo! siku ya cku akanipa apointment kuwa tuamke usiku tukachapane chumbani kwake, mzee ckulala maana nilikuwa nasikilizia wazee walale, kumbuka mzee wetu alikuwa mjeda! ilipofka saa7 nkaamka nanyata mpaka kwenye rum ya hg, alikuwa amelala na mdogo wangu wa kike, kmya kmya nkamfinya akaamka, maana enzi izo dar kulikuwa na mtindo wa kuiba makochi, yaani mito ya makochi ivyo wakati wa kulala tulikuwa tunayapeleka chumbani kwa hg, baada ya kuamka akaenda kwanza bafuni, kurudi akakuta nimeshaandaa makochi kwa chini, mzee we hacha! akalala chali, mzee ckuchelewa kuingza tu wazungu hao! nishangaa sana mtalimbo wote kuingia wote na kupotelea ndani, nkiwa nashangaa shangaa akaniambia niondoke nirudi rum kwangu, nilichokaje! ila kiukweli nilijiuliza maswali mengi, mbona sikusikia utamu kama masela walivyokuwa wanasimulia kijiweni!