Unamkumbuka mpenzi wako wa kwanza?

I can assure you ni wanaume wachache sana tena sana ambao wanakumbuka kila mwanamke waliyelala naye maishani,actually saa ingine unaweza jikuta unatongoza upya mwanamke uliyemmega 15/20 years ago,its common.

Wewe unawakumbuka wangapi?
 
NN leo mbona umekuwa mpole hivo? kunani? au Mh. bajeti ya wizara yako imekataliwa leo?

Sasa Bishanga wewe ulitaka mi nisemeje yakhe? Ulitaka nikutishie kama nnavyokutishiaga siku zote?

Hivi unajua kuwa kweli kuna watu humu wanaamini haya matani yetu....? Yaani wanaamini kabisa eti wewe na huyo mnatoka....hahahaaa
 
heheheheeeee nimecheeeeeeeka hizo comment .............afu nikaanza kuvuta kumbukumbu...........................nikacheeeeeka!
huyo kijana alikuwa mtanashati balaa....lkn nilikuwa najifaragua manake nilikuwa naogopa sana lile zoezi alilokuwa analiintroduce. Siku ya siku akanikamata kwenye 18.....na ndo siku nikapata kizaigote cha festboni wangu!!!




Eeeeh mama huyu wa kwako alikuwa kiboko,yaani siku ya kwanza tu akakuambukiza na ujauzito..??
 
Sitasahau,ni baada ya kumaliza kidato cha nne pale Azania miaka ishirini na mbili iliyopita mzee akaniambia sasa mwanangu umekua inabidi uende ukafanye biashara wakati unasubiri matokeo yako ya mtihani,na akanikabidhi kama milioni tatu za mtaji.Nikaelekea wilayani Mpanda ili kukusanya mbao na kusafirisha kupeleka Dar.Kufika huko nikafikia nyumbani kwa kaka yangu aliyekuwa na kabekitatu karembo kwelikweli,basi ile sijamaliza hata siku tatu nikashikwa na maleria kali kutokana na hali ya hewa nisiyoizoea,kaka yangu akamwambia binti kuwa hakikisha unamhudumia kaka yako mpaka apate nafuu,basi kaka yangu alikuwa anashangaa tu,mbona mgonjwa kadri siku zinavyoenda ndio hali yake inazidi kuwa mbaya au matibabu sio mazuri, kumbe muhudumiaji wangu alikuwa ameshagundua hazina na sasa hivi tunavyoongea uzao wa mchezo huo umeshatimiza miaka 21....
 
Nilikuwa form 2 mgeni kabisa kwenye masuala hayo kuna mdada wa form 4 alikuwa ananipenda sana,siku moja tukiwa likizo akaja kitaani nikampeleka geto kwa mshikaji basi kwa kuwa nilikuwa sijui lolote wacha nihangaike hata tobo nikawa silioni nikaishia kujipigia vigoli kwenye shuka tu.
 
Sasa Bishanga wewe ulitaka mi nisemeje yakhe? Ulitaka nikutishie kama nnavyokutishiaga siku zote?

Hivi unajua kuwa kweli kuna watu humu wanaamini haya matani yetu....? Yaani wanaamini kabisa eti wewe na huyo mnatoka....hahahaaa

True,kuna mtu ashawahi kuniPM anataka confirmation,jf kwa umbea haina mfano,raha lakini.
 
nani akupenda wewe gumegume? acha kudanganya watu hapa. lione
dubu CHANGIA MADA UKIONA POST ZANGU ZIPOTEZEE USINITAFTIE BAN BURE NAWEZA KUKUTUKANA WEWE MPAKA
GUMEGUME MM YAKO NDIO SABABU KAACHIKA DUBU PORI WEWE SHUKURU MUNGU HII MADA INGEKUWA CHIT CHAT NINGEKUTOLEA UVIVU WEWE KILA UKIONA POST ZANGU WAPITA KUSHOTO
 
dubu CHANGIA MADA UKIONA POST ZANGU ZIPOTEZEE USINITAFTIE BAN BURE NAWEZA KUKUTUKANA WEWE MPAKA
GUMEGUME MM YAKO NDIO SABABU KAACHIKA DUBU PORI WEWE SHUKURU MUNGU HII MADA INGEKUWA CHIT CHAT NINGEKUTOLEA UVIVU WEWE KILA UKIONA POST ZANGU WAPITA KUSHOTO
na bado
 
Back
Top Bottom