Uzuri hawataji majina yao maana hapa pangezuka maandamani ya hatarihapa mnaweza kuwaongelea wake zetu
Heheheee huyo umemtaja wewe mimi simo ingawa nilimaanisha huyohuyoUnataka kumtaja wa humu humu Catherine sijui kama atakubali hili
Hahahaaaaa PakaJimmy mi ndio nafikiria kuanza mchakato wa kutest mautam siunajua tena ukisikia kitu unatamani kujaribu.....Nitafutie basi wa kujifunza nae kama unaweza
Alikuwa mnene, kifua kikubwa....na zaidi alikuwa mfanyakazi wa ndani aka houcgel,beki3....baada ya promc sikuwa na sehemu ya kwenda bali porini.
Nakumbuka ilikuwa mida ya 1 usiku, kiza cha kutosheleza and sunlight was totally failed, nikaaingia nae kichakani....Hii ilikuwa baada ya kumaliza tu form 4..hapa naomba msinicheke!!
Dah mwanaume nguvu nguvu nikatoa gwanda, nikaingia king....sasa bahati mbaya nyumba za karibu na hata alipokuwa anakaa huyu dada walikuwa wanafuga sana m-mbwa,tena wakali. Basi zile vurugu pale kichakani, Mmbwa wakazistukia.
Hazikupita dakika mara hao...dah,nakumbuka ilikuwa kitimtimu balaa....kizuri ni kwamba wale mbwa walivuta harufu ya yule binti kwa hiyo hawakumletea noma coz walimzoea, kivumbi ilikuwa kwangu sasa.!! Mamamaaaaa weeee...nilipiga makelele, kale kabinti kakawa kanawakemea wale mbwa wasilete noma!!
Kikubwa ambacho sipendi kukisema.....huyu binti wakati na-do nae nilipigwa na harufu flani kali sana kutoka maeneo...lol, nilichukizwa sana kale kaharufu, nadhani iilikuwa ni suala zima a usafi ni F/....lakini ndo hivyo tena, kale kaharuhu kalichukua muda kweli kumingle na wadada/mdada mwingine...na ilichukua muda...nadhani baada ya kumaliza Form 6 ndio nikawa na 2nd gf...hadithi inaishia hapo!!
YEEEEEuuuuuuuuuuuwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiii, ctaki hata kumkumbuka!
MIE BAHATI MBAYA YULE MBUZI ALICHINJWA..~! R.I.P kaaaa!
Wa kwanza kabisa kwangu alikuwa beki 3 wetu. Tena nakumbuka siku hiyo wakati anamshika tu babu ili amuweke mahala pake mi nkamaliza kila kitu mkononi mwake na mashine ikalala, akaishia kuvaa kwa hasira na kusepa.
nimecheka sana hii mada
ingefaa iwe chi chat huko tungejimwaga kwa kwenda mbele,mmu pamekaa kiheshima heshima sana.
Lizzy anakupa hai!
Hivi inawezekana ukado na mtu halafu baada ya miaka kadhaa ukiulizwa useme "simkumbuki"?