Unamiliki nini katika Umri huu?

Unamiliki nini katika Umri huu?

brother uwe shemeji yangu tafadhali " nina dada anayekufaa bado mbichi umri miaka22" menopause anaisikia tu nadhani hata hajui maana yake ndio nini " hata ukimwambia menopause ni jiji lipo china atakuelewa "... umri wake bado mdogo so hana time yakuwaza mambo yakujipa pressure kama hayo
kwanini boss usiniungie mimi, au huyo sista wako hapendi wakulima.
 
Namiliki raba kali ni Air Force one nyeusi,pia namiliki dem wa kizungu pia namiliki iPhone X
 
Nina 30, namiliki nyumba mbili moja ipo kibaha kwa mathias, nyingne ipo morogoro nane nane, nina gari nne (ranger nyeusi, harrier, noah , na spacio), sina mke, sina mtoto, sasa hvi najenga ghorofa moja kimara, nina mashamba ekari 22, nina biashara yangu kubwa tu ambayo inasogeza siku, ni machine za kusaga za kukoboa, nina viwanja viwili. Katika elimu nina degree moja, na sasa hv ninatarajia kusoma masters kwaajili ya sifa tu, si unajua sisi wahaya. Ni hayo tu.
😀
 
Hizo shule zenu ndo zinawatia umaskini nyambafu.

We ng'ang'ana na hayo mamisamiati ambayo wanayokufundisheni bado mpaka leo nibmasikini, na nyie mnaokaririshwa ni masikini pia
Kumbe Jeiefu wengi ni bongo lala...yaani mtu anamiliki liabilities kibao eti naye anakuja kujitapa humu?
Wanao miliki assets ni wachache sana wallahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 58
Mke mmoja watoto wa ndoa 6
Watoto wa pembeni 5 niliwachukuaga ninao home - jumla ya watoto 11
Nina kiwanja...tofali zipo site mwaka wa pili sasa ila kupandisha mambo yamegoma
Nimepanga nyumba nzima...Tandare kwa Mtogole
Sijawahi kumiliki gari...ila nina pikipiki wa ajili ya safari zangu na familia
Nina kibarua Tshs 540,000 kwa mwezi
Watoto 3 wasichana wamezalia home....wapo
Watoto wengine 3 wa kiume, mmoja Dj kwenye bar, Mwingine bodaboda na mwingine yupo home tu hata sijui shughuli zake
Shemeji zangu wawili kaka za wife nipo nao, mmoja dereva wa daladala, mwingine bajaji wana wake zao..wote tunao home
Wadogo wa wife wasichana wamemaliza la saba mwaka jana, ninao home pia - mmoja anajifunza cherehani na mwingine anafanya kazi ya kibanda cha Tigo / Mpesa -
Nina wadogo zangu wawili wa mwisho, wote wanasoma VETA changombe - ufundi magari.
Watoto wengine bado wapo shule......kayumba sina uwezo wa kuwapeleka FM Academia.
Kila ikifika jioni tunakutana wote - tunafanya donee ili tuweze kuwa ha hela ya kuhemea siku inayofuata, kulipa umeme na maji.

Cha moto nakipata !!! na Corona hii kukaa home kichwa kinaumaa!!
hiyo nyumba inaonekana kubwa sana.mzee kwa nini unazaa watoto wengi hivyo?
 
me ni tajiri kumbe nina watoto watatu
nina viwanja vitatu Moshi Lushoto na Mkuranga nina fanya biashara ya pooltable, samaki na pikipiki(bodaboda)

kwa siku naingiza si chini ya 50

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namiliki Jahazi la uvuvi wake watatu nyumba moja Mbweni Njia panda ya ulaya pia namiliki busha lenye kilo 13 na bendera ya TANU pia na Ungo wa kurukia usiku na shamba la minazi
BUSHA.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
27 yrs sina mke wala mtoto.. nimepanga single room. Niko na shamba la mahindi 1.5 heka nasubiria mavuno... 4M on my bank acc.. naskilizia upepo wa corona uishe niingize kwenye mzunguko

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom