Adamjuma94
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,292
- 4,752
kwanini boss usiniungie mimi, au huyo sista wako hapendi wakulima.brother uwe shemeji yangu tafadhali " nina dada anayekufaa bado mbichi umri miaka22" menopause anaisikia tu nadhani hata hajui maana yake ndio nini " hata ukimwambia menopause ni jiji lipo china atakuelewa "... umri wake bado mdogo so hana time yakuwaza mambo yakujipa pressure kama hayo