mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 605
- 680
Hichi kifaa muhimu hata kama huna hela unaringia hicho
Miaka 58
Mke mmoja watoto wa ndoa 6
Watoto wa pembeni 5 niliwachukuaga ninao home - jumla ya watoto 11
Nina kiwanja...tofali zipo site mwaka wa pili sasa ila kupandisha mambo yamegoma
Nimepanga nyumba nzima...Tandare kwa Mtogole
Sijawahi kumiliki gari...ila nina pikipiki wa ajili ya safari zangu na familia
Nina kibarua Tshs 540,000 kwa mwezi
Watoto 3 wasichana wamezalia home....wapo
Watoto wengine 3 wa kiume, mmoja Dj kwenye bar, Mwingine bodaboda na mwingine yupo home tu hata sijui shughuli zake
Shemeji zangu wawili kaka za wife nipo nao, mmoja dereva wa daladala, mwingine bajaji wana wake zao..wote tunao home
Wadogo wa wife wasichana wamemaliza la saba mwaka jana, ninao home pia - mmoja anajifunza cherehani na mwingine anafanya kazi ya kibanda cha Tigo / Mpesa -
Watoto wengine bado wapo shule......kayumba sina uwezo wa kuwapeleka FM Academia.
Kila ikifika jioni tunakutana wote - tunafanya donee ili tuweze kuwa ha hela ya kuhemea siku inayofuata, kulipa umeme na maji.
Cha moto nakipata !!! na Corona hii kukaa home kichwa kinaumaa!!
Fuso unasema kweli ama unataniaMiaka 58
Mke mmoja watoto wa ndoa 6
Watoto wa pembeni 5 niliwachukuaga ninao home - jumla ya watoto 11
Nina kiwanja...tofali zipo site mwaka wa pili sasa ila kupandisha mambo yamegoma
Nimepanga nyumba nzima...Tandare kwa Mtogole
Sijawahi kumiliki gari...ila nina pikipiki wa ajili ya safari zangu na familia
Nina kibarua Tshs 540,000 kwa mwezi
Watoto 3 wasichana wamezalia home....wapo
Watoto wengine 3 wa kiume, mmoja Dj kwenye bar, Mwingine bodaboda na mwingine yupo home tu hata sijui shughuli zake
Shemeji zangu wawili kaka za wife nipo nao, mmoja dereva wa daladala, mwingine bajaji wana wake zao..wote tunao home
Wadogo wa wife wasichana wamemaliza la saba mwaka jana, ninao home pia - mmoja anajifunza cherehani na mwingine anafanya kazi ya kibanda cha Tigo / Mpesa -
Watoto wengine bado wapo shule......kayumba sina uwezo wa kuwapeleka FM Academia.
Kila ikifika jioni tunakutana wote - tunafanya donee ili tuweze kuwa ha hela ya kuhemea siku inayofuata, kulipa umeme na maji.
Cha moto nakipata !!! na Corona hii kukaa home kichwa kinaumaa!!



Mungu anakuona ujue kakaangu
Asee sasa kwa nguvu kazi hii si unajenga nyumba inaisha kwa garama nafuu kabisaMiaka 58
Mke mmoja watoto wa ndoa 6
Watoto wa pembeni 5 niliwachukuaga ninao home - jumla ya watoto 11
Nina kiwanja...tofali zipo site mwaka wa pili sasa ila kupandisha mambo yamegoma
Nimepanga nyumba nzima...Tandare kwa Mtogole
Sijawahi kumiliki gari...ila nina pikipiki wa ajili ya safari zangu na familia
Nina kibarua Tshs 540,000 kwa mwezi
Watoto 3 wasichana wamezalia home....wapo
Watoto wengine 3 wa kiume, mmoja Dj kwenye bar, Mwingine bodaboda na mwingine yupo home tu hata sijui shughuli zake
Shemeji zangu wawili kaka za wife nipo nao, mmoja dereva wa daladala, mwingine bajaji wana wake zao..wote tunao home
Wadogo wa wife wasichana wamemaliza la saba mwaka jana, ninao home pia - mmoja anajifunza cherehani na mwingine anafanya kazi ya kibanda cha Tigo / Mpesa -
Watoto wengine bado wapo shule......kayumba sina uwezo wa kuwapeleka FM Academia.
Kila ikifika jioni tunakutana wote - tunafanya donee ili tuweze kuwa ha hela ya kuhemea siku inayofuata, kulipa umeme na maji.
Cha moto nakipata !!! na Corona hii kukaa home kichwa kinaumaa!!
Saraphina demu wangu namumiliki kihalari umuri 31 yrs
Mkuu kwani unateseka???Miaka 25-40 unakaa kwenu huta hata godoro halaf unajichetua kuwa unataka mahusiano na mtu chefuuuuuuuuu kwa bbc haina dili, mambo yote abroad mambo ya usd shilling peleka gengeni huko
ha ha huyu mwamba banaVIUNGO VYANGU VYA SIRINI🙄🙄🙄🙄
ha ha huyu mwamba banaVIUNGO VYANGU VYA SIRINI🙄🙄🙄🙄
na mm niwe danga linginemadanga kama7 hivi! af yote yanikopa tuumaisha haya!
Cc mikitoMiaka 58
Mke mmoja watoto wa ndoa 6
Watoto wa pembeni 5 niliwachukuaga ninao home - jumla ya watoto 11
Nina kiwanja...tofali zipo site mwaka wa pili sasa ila kupandisha mambo yamegoma
Nimepanga nyumba nzima...Tandare kwa Mtogole
Sijawahi kumiliki gari...ila nina pikipiki wa ajili ya safari zangu na familia
Nina kibarua Tshs 540,000 kwa mwezi
Watoto 3 wasichana wamezalia home....wapo
Watoto wengine 3 wa kiume, mmoja Dj kwenye bar, Mwingine bodaboda na mwingine yupo home tu hata sijui shughuli zake
Shemeji zangu wawili kaka za wife nipo nao, mmoja dereva wa daladala, mwingine bajaji wana wake zao..wote tunao home
Wadogo wa wife wasichana wamemaliza la saba mwaka jana, ninao home pia - mmoja anajifunza cherehani na mwingine anafanya kazi ya kibanda cha Tigo / Mpesa -
Watoto wengine bado wapo shule......kayumba sina uwezo wa kuwapeleka FM Academia.
Kila ikifika jioni tunakutana wote - tunafanya donee ili tuweze kuwa ha hela ya kuhemea siku inayofuata, kulipa umeme na maji.
Cha moto nakipata !!! na Corona hii kukaa home kichwa kinaumaa!!