Ukisikia mbu anakutembelea, utamfukuza kwa njia gani?
1. Kumbamiza kibao
2. Kwa kummaliza kwa makofi
3. Kwa kumbembeleza na kitambaa au
4. Kwa kumpa ofa feki ya damu ukisikia anakung'ata unambana kwenye ngozi na kumsaga kwa vidole
Wewe njia yako ni ipi?
Namwimbia mapambio asiposikia namwekea tindikali
ivi mbu ndo anafananaje?...au ni jamii ya kangaroo...aaaarrggh nachanganya sasa...yuko kama ngiri....no way!...mbu hawez kuwa ivo....nadhani anataka kufanana na nungunungu...aaaahhh nimeshindwa bana hata simkumbuki tena.!...but i guess ukimsogelea karibu mbu ni kama kambale!...um tired...simjui mbu.
kuna mwenzio aliendaga huko ulaya miaka ya nyuma
aliporudi alijifanya hawezi tena hata kumsalimia mama yake kwa
luga ya nyumba,
hata chakula cha home hakijui tena
au ulikuwa ni wewe mkuu.
Ukisikia mbu anakutembelea, utamfukuza kwa njia gani?
1. Kumbamiza kibao
2. Kwa kummaliza kwa makofi
3. Kwa kumbembeleza na kitambaa au
4. Kwa kumpa ofa feki ya damu ukisikia anakung'ata unambana kwenye ngozi na kumsaga kwa vidole
Wewe njia yako ni ipi?
ivi mbu ndo anafananaje?...au ni jamii ya kangaroo...aaaarrggh nachanganya sasa...yuko kama ngiri....no way!...mbu hawez kuwa ivo....nadhani anataka kufanana na nungunungu...aaaahhh nimeshindwa bana hata simkumbuki tena.!...but i guess ukimsogelea karibu mbu ni kama kambale!...um tired...simjui mbu.
Hawana shamba wale, miili yetu ndio riziki yao.
Nawacha 'nature' ifanye kazi yake...
heheeh mbona klorokwini zimewekwa mwisho? itafika zamu yangu lakini? hako kababu kagumu kweli kutoa pasi.
uliwazaje kuhusu huu uzi mkuu,Papa Mopao