Huo ni ushoga tu kama brazajVazi hereni ni pambo linalotumiwa na wanawake tangu enzi na enzi za mababu zetu lakini kwa sasa hii imekuwa tufauti sana kwani hata wanaume siku hizi wanavaa. Je , ni sahihi kwa mwanaume kuvaa hereni kwa sehemu yoyote kwa na mna yoyote ile na kwa kisingizio chochote kile?
View attachment 1765668View attachment 1765669View attachment 1765670