Tofauti kati ya mwanamke na mwanaume

Tafakari_nami

JF-Expert Member
Nov 4, 2016
779
1,514
Tangu enzi na enzi mwanaume hajawahi kuwa Sawa na mwanaume. Hizi ni baadhi tuu ya tofauti kati ya wanawake na wanaume.

Sasa Nina shangaa hawa wat u wa haji za kibinaadamu kuja na kelele nyingi sana wakishinikiza u saw a kati ya mwanaume na mwanamke.

Dunia ya sasa ina wasomi wengine lakini vitu wanawaza na kuja navyo kwenye jamii ni vitu cya hovyo mnoo.
Ni kama wana haribu jamii badala ya kutengeneza jamii iliyo bora na kuelimika.

Tofauti Nyingine ongezea kwenye comment.

FB_IMG_1707896471218.jpg
FB_IMG_1707896474602.jpg
FB_IMG_1707896477292.jpg
FB_IMG_1707896479966.jpg
FB_IMG_1707896483071.jpg
FB_IMG_1707896486471.jpg
FB_IMG_1707896489702.jpg
FB_IMG_1707896495469.jpg
 
Back
Top Bottom