Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Nimejisikia kusema yalionikuta, nakumbuka katika hizo harakati ad mawazo ya kujiua yalikuja, kaka alinifata akanishauri sana ,

Naweza sema mimi nilimuacha kuogopa auibu ya kuachwa mimi ila niliumia kimya kimya
 
Nilipogundua anataka kuniacha nikamuwahi akajifanya bado ananipenda kumbe ananilia timing anifanyie suprise ya kuniacha, siku anataka kukamilisha mpango wake nilimtandika makofi hatosahau maishani

Yaani nikipiga upande huu narudia upande wa pili ndo nahesabu kofi moja.
 
Nilipogundua anataka kuniacha nikamuwahi akajifanya bado ananipenda kumbe ananilia timing anifanyie suprise ya kuniacha, siku anataka kukamilisha mpango wake nilimtandika makofi hatosahau maishani

Yaani nikipiga upande huu narudia upande wa pili ndo nahesabu kofi moja.
Hahahahahahahahaaa
 
Inauma sana,
Aliniambia ana maongezi muhimu na familia yangu akaniomba niwape taarifa na kuwasisitiza mama na ndugu zangu wawepo siku ya kikao. Nilijitahidi sana kuandaa mazingira mazuri ya kufanyia kikao bila kujua naandaa panga la kunichinjia! Niliachwa mbele ya ndugu zangu.
Sitaisahau siku ile,
Mama watoto popote ulipo Mungu akubariki na akupe umri mrefu na mafanikio wewe na mwanetu, najua ipo siku ukweli utaujua na Mungu atakurudisha mikononi mwangu hata kama itapita miaka 20.
#Evln
 
Okay naitwa Ngareroo natoka pande za hapa Ngarenaro..Aah kwa upande wangu mimi kuna manzi anaitwa Angel nilimfatilia zaidi ya miezi6 hadi ndala zangu zikaisha pia nilitengeneza kibarabara kabisa maana daily nilikua napita pale karibu na kwao,manzi alinikubalia leo alafu kesho akanibamiza et tuachane daah!!ata sijamla yaani,kipindi ananipigia simu akinambia tuachane nilikua nakula nyama lakini ile nyama niliiona kama likiazi tu haina ladha yoyote akati ilikua tamu kinyama.
 
Nilimpenda kweli, ni story ndefu, alikuwa mmanga hawa wa ki-Oman, ndugu zake hawakunitaka na waliloamini ni kwamba ningemuharibia masomo yake na hatimae maisha yake.

Katika harakati za hapa na pale ikatokea safari ya kimasomo kwenda nchi flani hivi, nlifanya yote yaliyowezekana akawemo safarini maana mimi nlikuwa na nafasi tayar, alinishkuru sana for that lakini alikuwa kuungana na kukubaliana na matakwa ya ndugu zake kwamba aachane nami. Kipindi cha rehearsal kilikuwa ndio kipindi cha kutuweka karibu but she always avoided me. I was never happy at school na kila safari ilivyokaribia ndivyo hakunielewa ba kujaribu kuji-distance from me.

Siku ya safari ikafika, ndege yetu saa nne asubuhi mpaka saa mbili hajafika. I started worrying na nkataka kugoma pia, kama haendi nami sitokwenda, fikra zangu ziliniambia ndugu zake wamemzuia. Around saa mbili na nusu alitokea, nlikumbatiana na kaka yake aliemsindikiza na akaninong'oneza kuwa he believes I will protect his sister. I gave him my words that she was in a safe hands.

Mmanga yule hakutaka kuongea nami mpaka tulipofika Amsterdam alipopata matatizo na suitcase yake. She was crying and calling me "my love". I had some courage and strength to do whatever I had to ili vitu vyake vyote tupate kusafiri navyo.

In Norway, she gifted me her ............

We enjoyed our time, and she promised me that she will be mine no matter what.

As we reached Tanzania, out of the flight, she pulled me, hugged me, kissed me and said it was over between us. And it was over.
We nae uliendekeza mapenzi ya kishamba/ ya kizungu wakati wewe ni mbongo tu! Kwanini usingepiga chini tokea tu ulipojua kuwa ndugu zake hawakupendi!
 
Okay naitwa Ngareroo natoka pande za hapa Ngarenaro..Aah kwa upande wangu mimi kuna manzi anaitwa Angel nilimfatilia zaidi ya miezi6 hadi ndala zangu zikaisha pia nilitengeneza kibarabara kabisa maana daily nilikua napita pale karibu na kwao,manzi alinikubalia leo alafu kesho akanibamiza et tuachane daah!!ata sijamla yaani,kipindi ananipigia simu akinambia tuachane nilikua nakula nyama lakini ile nyama niliiona kama likiazi tu haina ladha yoyote akati ilikua tamu kinyama.
We jamaa umenifanya kwa sauti usiku huu, eti nyama ikawa kama likiazi.
BTW pole sana jombaa hawa viumbe ndo maana wengine wanatinduliwa na kuachwa.
 
Hapa ndo nilithibithisha kua mapenzi ni yanauma,
Maumivu nilioyapata sijawai kuyapata tena na naomba yasijieudie, yan huumwi sehemu yoyote ya mwili lakini unaona dunia iko juu chini,
Kwa mara ya kwanza nikashindwa kula.
Chozi linatoka, lecture hazipandi.

Sikua mpenzi wa nyimbo ila nilijikuta nawafahamu kina Bruno Mars, Celine dion, ibra nation, Adele na wengine wengi.
Nilikua nikiangalia picha yake au nikiangalia call history nalia. Sema nilikua najikaza watu wasinione dhaifu.
Hakika haya mambo yasikie. Kwa ambae hayajamkuta hawezi kuelewa hii hali
Ulimkosea nini akakupiga chini?,mtoe na sababu
 
Back
Top Bottom