Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Yule ms*nge aliniacha jumapili ambayo jumatatu yake tulikuwa na test...sababu yake mammmae zake nikachafua CV ya kuzungusha ile paper (nilipata zero)

Nilikuwa siwezi kula
Siwezi kulia japo natamani kulia lakini machozi hayaji
Nilikuwa mchekaji mzuri lakini siku hizi sicheki kabisaaaa

Popote ulipo ama kama unasoma hapa ujue tu nakuchukia kuliko kawaida!!!na kwa taarifa yako ninae baby mpya nampenda sanaaaaaa

#povu

Halafu bado nakupenda
Hii inaonesha haina muda mrefu
 
Ile msg ya Naona tuachane tu aisee nilihisi Gizaa flani hivi nikataka kuzimia..!! Sikuweza kuongea na mtu yani nililia kama mtoto ila mama akajua tatizo aisee alinitia moyo na kunipa shule kuhusu wanawake yani toka siku ilee mwanamke hawezi isumbua akili yangu hata Kama Nimpende vipii... akizingua namuacha dak sifuri kitu kingine siwezagi Kumbembeleza mwanamke kabisaa.
We jamaa si ulisema umeoa?
 
Mapenzi ni kitu cha ajabu mnoo
Lijitu linakuja linakufanya ujione wewe ndo wewe kwenye hii dunia
Unaona kila kitu kipo chini yako furaha unayohisi si ya dunia hiii


Uwiii yakichachuka maumivu yake dah basi tu unaanza kutafuta quotes za kukufariji na nyimbo za.... Dah! Acheni mapenzi nyie ata ukijizuia kupenda unajikuta kamoyo kameshadumbukiamo
 
Yule ms*nge aliniacha jumapili ambayo jumatatu yake tulikuwa na test...sababu yake mammmae zake nikachafua CV ya kuzungusha ile paper (nilipata zero)

Nilikuwa siwezi kula
Siwezi kulia japo natamani kulia lakini machozi hayaji
Nilikuwa mchekaji mzuri lakini siku hizi sicheki kabisaaaa

Popote ulipo ama kama unasoma hapa ujue tu nakuchukia kuliko kawaida!!!na kwa taarifa yako ninae baby mpya nampenda sanaaaaaa

#povu

Halafu bado nakupenda
wewe ushakua nunda😂😂😂😂
 
Nilipogundua anataka kuniacha nikamuwahi akajifanya bado ananipenda kumbe ananilia timing anifanyie suprise ya kuniacha, siku anataka kukamilisha mpango wake nilimtandika makofi hatosahau maishani

Yaani nikipiga upande huu narudia upande wa pili ndo nahesabu kofi moja.
uwiii😂😂😂😂😂
 
Break ups sikia kwa mtu, ule muda unatamani ungekuwa na uwezo uuchomoe moyo uutupe jalalani, sijui kwa nini Mungu aliweka upendo moyoni maana mambo yanapobuma inakuwa ngumu kuuchomoa. Angeuweka hata kwenye nywele tungekuwa tunakata kuondoa maumivu. Lakn alipoweka upendo unatutesa sana pale tunapotokea kupenda wrong person.

Nakumbuka ile msg nilikuwa nakula jioni mtu akasema wew umeshapata kaz mim bado nasoma nahis nitakupotezea muda wako wew endelea na maisha yako huko mim usinitafute tn na kweli aliniblock, sikula vzur siku tatu kazn nilikuwa naenda narudi nadanganya naumwa. Kwakweli niliteseka sana nilikuwa nakaa na simu muda wote nikitegemea kuona ht bip yake tu.
Niliumia ila ni bora alivyoniacha maana now nina better person than him na nisingempata km ningeendelea kumg'ang'ania f*la yule
 
Historia yako kama inafanana na yangu vile.....
Break ups sikia kwa mtu, ule muda unatamani ungekuwa na uwezo uuchomoe moyo uutupe jalalani, sijui kwa nini Mungu aliweka upendo moyoni maana mambo yanapobuma inakuwa ngumu kuuchomoa. Angeuweka hata kwenye nywele tungekuwa tunakata kuondoa maumivu. Lakn alipoweka upendo unatutesa sana pale tunapotokea kupenda wrong person.

Nakumbuka ile msg nilikuwa nakula jioni mtu akasema wew umeshapata kaz mim bado nasoma nahis nitakupotezea muda wako wew endelea na maisha yako huko mim usinitafute tn na kweli aliniblock, sikula vzur siku tatu kazn nilikuwa naenda narudi nadanganya naumwa. Kwakweli niliteseka sana nilikuwa nakaa na simu muda wote nikitegemea kuona ht bip yake tu.
Niliumia ila ni bora alivyoniacha maana now nina better person than him na nisingempata km ningeendelea kumg'ang'ania f*la yule
 
Hakuna rangi utaacha iona!! Utatafuta nyimbo za maombolezo lakini hutapata nafuu.
 
Back
Top Bottom