Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

...kupitia hii thread kuna vtu nmejifunza kwakweli,mana kuna kabint kalinifanya adi Leo niwachukie mademu wte wa chuo.

Nlikapenda sana tena sana hasa ile rangi yke ya kishombeshmbe,tulianza kuwa kama marafk then nkamtongza akasema niwe na subira ata nijubu coz kuna jamaa yke alikuwa nae na alimuahidi atamuoa japo huyo jamaa yke alishampga chini ila demu akawa anajpa matumaini kwasabbu demu alimpenda sana huyo jamaa nahisi alibikiriwa na huyo jamaa,
Mm nkavuta subira uku tukiwa na uhusiano kama marafki tu sasa ikafka muda nkambana anpe jbu moja lenye uhakka sio kupotezeana muda,daaah ile sku nilijuta kwann nlimlazimisha anipe jibu usiku ule demu bla ya kuniangalia usoni akaniambia King sitaki mahusiano na wewe nikajitaidi sana kumbembeleza lakini alikataa akaniambia niondoke kwake asije akanionea huruma....
Nkamwambia poa haikuwa rizki ila nlivyofika ghetto maumivu yke hatar sikuweza pata ata usingizi ilinibidi nisafiri niende mkoa mwngine nkapoteze mawazo nlifanikiwa kumpoteza kabsa ktk akili yngu mana nlijitaid sana kufanya meditation.
Ila tulivyorudi semester nyngne tukajikuta tumezoeana na kuanza mahusiano tena nilihisi kama naota hv mana demu alinionesha mapenz motomoto adi raha,sasa nkamuliza vp bibie msimamo wko upo vpi isije ikawa kama sku zle uje uniumize tena akasema niwe na subira....nikasema safari hii nakugonga kwanza afu mambo mengne baadae,daaah nilijitaidi kufanya kila mbinu nimmege akawa ananikazia kweli mwsho akasema naomba tuwe kama marafiki tu kama sitaki basi jbu liwe kama la mwanzo...
Sikumjibu chochote nikaamua nimpotezee tu naamini ipo sku atajilengesha na akijilengesha tu ata kumbaka nitambaka as longer as akubali kuingia getto tu...
 
Break ups sikia kwa mtu, ule muda unatamani ungekuwa na uwezo uuchomoe moyo uutupe jalalani, sijui kwa nini Mungu aliweka upendo moyoni maana mambo yanapobuma inakuwa ngumu kuuchomoa. Angeuweka hata kwenye nywele tungekuwa tunakata kuondoa maumivu. Lakn alipoweka upendo unatutesa sana pale tunapotokea kupenda wrong person.

Nakumbuka ile msg nilikuwa nakula jioni mtu akasema wew umeshapata kaz mim bado nasoma nahis nitakupotezea muda wako wew endelea na maisha yako huko mim usinitafute tn na kweli aliniblock, sikula vzur siku tatu kazn nilikuwa naenda narudi nadanganya naumwa. Kwakweli niliteseka sana nilikuwa nakaa na simu muda wote nikitegemea kuona ht bip yake tu.
Niliumia ila ni bora alivyoniacha maana now nina better person than him na nisingempata km ningeendelea kumg'ang'ania f*la yule
Acha kumwita baharia 'fala' we ulieachwa ndo fala maana alikukula akatosheka ndo akakubwaga
 
Ile msg ya Naona tuachane tu aisee nilihisi Gizaa flani hivi nikataka kuzimia..!! Sikuweza kuongea na mtu yani nililia kama mtoto ila mama akajua tatizo aisee alinitia moyo na kunipa shule kuhusu wanawake yani toka siku ilee mwanamke hawezi isumbua akili yangu hata Kama Nimpende vipii... akizingua namuacha dak sifuri kitu kingine siwezagi Kumbembeleza mwanamke kabisaa.
Mwanamke akizingua namstake kwa kanji huko
 
Naona wote umu mliachwa .na walio acha hawapo au
 
Nimeishia ukurasa wa 21 siwezi kuendelea naumia sana na maelezo ya humu ndani hakuniacha sikumuacha tulitenganishwa alianiambia ukiondoka naacha kazi narudi kwetu alihangaika Sana kuokoa penzi.letu, alifikia kutuma Askari wakasimamisha bus nililopanda wakaangalia hawakuniona nikuwa nawaza mengi Kati ya wazazi na yeye nilikuwa bado mdogo kiumri 16 na yeye 22 ndio Kwanza kaanza kazi alikuwa na nafasi nzuri kazini (cheo)kuliko umri wake hakuwahi kunigusa kimwili aliahidi kunioa, polisi wakateremka bus likaondoka baada ya miezi mitatu nilirudi kule sikumkuta aliacha kazi na kurudi kwao sijamuona tena na sina mawasiliano naye, kama yupo humu ajue mume wangu alikuwa yeye hapa duniani imeshindikana najua ipo sehemu itawezekana japo si duniani tena. Najua mume alikua yeye, hakuna anayenibabaisha kwa sasa wanasema naringa, jeuri, wa matawi, sijali langu la moyoni nimelitoa JF, siwezi kuendelea kuusoma tena huu Uzi, pia naomba tafadhali nisiulizwe swali najuta kuusoma

Pole sana my loveliest one wale ndugu zetu ndio walisababisha my love na wao ndio walikuwa sababu kubwa sana ya yote hayo mpaka yakatokea love.

Hope you understand darling...!
 
Nilipendana na huyo kaka kipindi nakua nilikaa nae miaka miwili, nilikua hata nikikosana nae kidogo mambo mengine hayaendi kiufupi nilimpenda alinipenda pia.
Siku nimekaa nyumbani nilimpigia simu nimjulie hali aliniambia 'Nipo nanyoa nywele saluni nitakupigia' baada ya muda nilisindikizwa na ujumbe ' Naona tuachane naona siwezi tena kuendelea na wewe' Sitaisahau hii siku nilipagawa nililia sana na kila nikiuliza sababu anasema amechoka tu na mahusiano yetu.

Nilijikaza maisha mengine yakaendelea ila cha moto ndio nilikipata hadi shule sikuwa nafanya vizur tena maisha mengine nayo yakawa ovyo tu lakini nashukuru nilikuja nikasahau na maisha mengne yakaendelea. Kuachwa ni mtihani kwa kweli. Wewe kaka popote ulipo ubarikiwe sana ingawa uliniacha lakini ulikua na vitu sijawahi kutana navyo popote pale hadi leo hii.
 
Nilipendana na huyo kaka kipindi nakua nilikaa nae miaka miwili, nilikua hata nikikosana nae kidogo mambo mengine hayaendi kiufupi nilimpenda alinipenda pia.
Siku nimekaa nyumbani nilimpigia simu nimjulie hali aliniambia 'Nipo nanyoa nywele saluni nitakupigia' baada ya muda nilisindikizwa na ujumbe ' Naona tuachane naona siwezi tena kuendelea na wewe' Sitaisahau hii siku nilipagawa nililia sana na kila nikiuliza sababu anasema amechoka tu na mahusiano yetu.

Nilijikaza maisha mengine yakaendelea ila cha moto ndio nilikipata hadi shule sikuwa nafanya vizur tena maisha mengine nayo yakawa ovyo tu lakini nashukuru nilikuja nikasahau na maisha mengne yakaendelea. Kuachwa ni mtihani kwa kweli. Wewe kaka popote ulipo ubarikiwe sana ingawa uliniacha lakini ulikua na vitu sijawahi kutana navyo popote pale hadi leo hii.
Alikuwa anakusukumia motoo wenyewe nini
 
Mimi hata sikuumia maana nilipanda mti kisha ndo nikakata mti
 
Lazima kila mtu apitie hii hali...sema mara ya kwanza ndiyo unaumia lkn baada ya apo huwezi kuumia tena...ila maumivu yake acha tu, unaweza hata mpigia mtu cm usiyemzoea ili akusuluhishie ilo tatizo, mana huumwi lkn roho inauma ,chozi linatoka bila kujielewa,...kiasi kwamba unaweza pitia tu profile ake ili ujiridhishe km yuko online au lah...
Hapa ndo nilithibithisha kua mapenzi ni yanauma,
Maumivu nilioyapata sijawai kuyapata tena na naomba yasijieudie, yan huumwi sehemu yoyote ya mwili lakini unaona dunia iko juu chini,
Kwa mara ya kwanza nikashindwa kula.
Chozi linatoka, lecture hazipandi.

Sikua mpenzi wa nyimbo ila nilijikuta nawafahamu kina Bruno Mars, Celine dion, ibra nation, Adele na wengine wengi.
Nilikua nikiangalia picha yake au nikiangalia call history nalia. Sema nilikua najikaza watu wasinione dhaifu.
Hakika haya mambo yasikie. Kwa ambae hayajamkuta hawezi kuelewa hii hali
 
Yani mimi
Hapa ndo nilithibithisha kua mapenzi ni yanauma,
Maumivu nilioyapata sijawai kuyapata tena na naomba yasijieudie, yan huumwi sehemu yoyote ya mwili lakini unaona dunia iko juu chini,
Kwa mara ya kwanza nikashindwa kula.
Chozi linatoka, lecture hazipandi.

Sikua mpenzi wa nyimbo ila nilijikuta nawafahamu kina Bruno Mars, Celine dion, ibra nation, Adele na wengine wengi.
Nilikua nikiangalia picha yake au nikiangalia call history nalia. Sema nilikua najikaza watu wasinione dhaifu.
Hakika haya mambo yasikie. Kwa ambae hayajamkuta hawezi kuelewa hii hali
Yani mimi nilikuwa maarufu ktk kuumiza watu, kiasi kwmba kumwambia mtu tuachane ni kitu chepesi sana tena sana, nilikuwa sijali machoz ya watu lkn siku nilipoachwa mimi, apo ndipo mafikirio ya watu wa nyuma yaliponijia, eeeh hv kumbe maumivu ndivyo yalivyo ivi?, yani kumbe moto wa mapenz ndo upo ivi ukiachana na mtu ?, afu ss amenila kbs yani amenila ...nikasema ngoja..nkarudiana nae yule mtu ingawa nilikuwa nampenda lkn tukizinguana kidg tu namuacha bila huruma..cjui ata anaumiaje uko..namuacha kabisa , mpk ss nimeshamuacha zamani tu lkn nikiwa nishamlipizia kisasi....muda mwngne huwa nasema yale ndo yalikuwa malipo au mana kha maumivu siyo mchezo...mpk ss nimekoma kuumiza watu wenye upendo wa kweli kwangu.
 
Sisi tulioanza mapenzi enzi za kombolela za kujificha mabagalani tuna comment wapi?
 
Back
Top Bottom